Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kumbuka pia kuwa ofa sio tu pesa za kununua timu bali pia na vitu atakavyofanya ili kuboresha ushindani wake. Posibly kaongeza pesa lakini pia inaweza kuwa hajaongeza pesa ila kaongeza ahadi kwenye plans zake ya mamabo atakayofanya akikubaliwa kununua Chelsea. Hizi ni Investment atakayofanya kwenye facilities na wachezaji na pia uendeshaji mzima wa timu ili niwe sustainable. Mfano wameahidi kurudisha hali kuwa normal kabla ya game na Brentford, hiyo ni mojawapo ya maboresho aliyofanya kwenye bid
Yeah najua hilo,asante kwa kuliongezea hapo

Nimejaribu kufatilia interview zakd anaonekana ni mzuri ni mtu anayependa kushinda makombe, kingine tangu mwaka 2018/19 alijaribu kuinunua chelsea jamaa anaonekana na nia tangu mda mrefu.
Kule kwenye MLB tim yake inafanya vizuri

Wasiwasi wangu ni wale wanaomzunguka tu yule mzee wyss na goldstein hawa ndio nmashaka nao
 
Tatizo kubwa la Saudi Media Group ni kwamba shareholder wao mmoja ni mmiliki wa Newcastle kupitia PIF

Saudi Media Group’s bid to buy Chelsea could face a stumbling block due to a potential conflict of interest with Newcastle United’s majority stakeholders PIF, according to Goal’s Nizaar Kinsella.
 
Sources said the bid led by Mr Boehly was now "overfunded",

Sababu kuu ni

Goldman Sachs, the powerful Wall Street investment bank, has stormed into the £3bn auction of Chelsea Football Club as an adviser to one of the leading bidders.

Sky News has learnt that Goldman has been signed up to advise the consortium being led by Todd Boehly, one of the owners of the Los Angeles Dodgers baseball team.

The addition of Goldman to Mr Boehly's bid is understood to have been disclosed in an offer letter sent to Raine, the merchant bank overseeing Chelsea's sale, on Friday.

While Goldman's involvement is limited at this stage to an advisory rather than financing role, its decision to work with Mr Boehly underlines its apparent status as one of the frontrunners to succeed Roman Abramovich as the Blues' owner.

Spokesmen for Goldman and Mr Boehly both declined to comment on Saturday.
 
Tatizo kubwa la Saudi Media Group ni kwamba shareholder wao mmoja ni mmi9liki wa Newcastle kupitia PIF

Saudi Media Group’s bid to buy Chelsea could face a stumbling block due to a potential conflict of interest with Newcastle United’s majority stakeholders PIF, according to Goal’s Nizaar Kinsella.
WamesubmitView attachment 2156993
IMG-20220319-WA0019.jpg
 
Tatizo kubwa la Saudi Media Group ni kwamba shareholder wao mmoja ni mmi9liki wa Newcastle kupitia PIF

Saudi Media Group’s bid to buy Chelsea could face a stumbling block due to a potential conflict of interest with Newcastle United’s majority stakeholders PIF, according to Goal’s Nizaar Kinsella.
Now Nizaar ameconfirm kuwa bid ilitumwa 1 hr before deadline


"It was delivered an hour before the deadline. The intention wasn't to create a media storm, hence going quiet. Delivered one hour before the deadline. Raine has confirmed receipt."
 
Now Nizaar ameconfirm kuwa bid ilitumwa 1 hr before deadline


"It was delivered an hour before the deadline. The intention wasn't to create a media storm, hence going quiet. Delivered one hour before the deadline. Raine has confirmed receipt."
Kama ni hivyo ni habari nzuri sana kiukweli moyo ilikuwa umenyongonyea sana
 
Sources said the bid led by Mr Boehly was now "overfunded",

Sababu kuu ni

Goldman Sachs, the powerful Wall Street investment bank, has stormed into the £3bn auction of Chelsea Football Club as an adviser to one of the leading bidders.

Sky News has learnt that Goldman has been signed up to advise the consortium being led by Todd Boehly, one of the owners of the Los Angeles Dodgers baseball team.

The addition of Goldman to Mr Boehly's bid is understood to have been disclosed in an offer letter sent to Raine, the merchant bank overseeing Chelsea's sale, on Friday.

While Goldman's involvement is limited at this stage to an advisory rather than financing role, its decision to work with Mr Boehly underlines its apparent status as one of the frontrunners to succeed Roman Abramovich as the Blues' owner.

Spokesmen for Goldman and Mr Boehly both declined to comment on Saturday.
Mkuu sababu ya kuwa "overfunded" sio hiyo
Hao wana advice tu na si financing

Sababu ya kuwa overfunded ni
"Clearlake Capital reportedly have $60billion (£45.5billion) of assets under management, meaning Boehly is now "overfunded" when it comes to his bid for Chelsea. The report goes on to say that any takeover from Boehly would provide 'long-term funding' for the club and the 'redevelopment of its Stamford Bridge home'"
 
Kama ni hivyo ni habari nzuri sana kiukweli moyo ilikuwa umenyongonyea sana
Me sidhana kama wanaweza pewa tim hawa,
Kutokana na hali tuliyopotia, hivyo naona kabisa tukienda kwenye mikono ya yankee
Labda atokee tajiri kutoka UAE/Qatar ila kwa saudi arabia naona kutakuwa na ugumu
 
Saudi Media Group’s offer remains at $3.5BN, nothing changed apart from them remaining out the media spotlight, there is currently a difference of $750k between offers. ( @JacobsBen )
 
Kuna watu wamesubmit na hawajaenda public,

Sio kila anaesubmit atasema kwa waandishi wa habar,

BBC wanasema 10-15 ndio wameswma public ila wengine hawajatangaza public

Fatilia mkuu, sio hao tu wako wengi
Uko sahihi 100%
 
Very very rare. Ununuzi wa timu kubwa kama Chelsea unaanzia kwenye publicity kwa sababu ya mashabiki, sikatai kuna watakaofanya hivyo, ila trait ya kwanza ya mfanya biashara ni publicity, hata kwenye ndoa na sendoff za watoto wao wanafanya publicity sembuse kwenye uwekezaji wa sport unaohitaji atention ya mashabiki. Tusubiri tuone, hardly that to happen
Mfano haiwezekani Saudi Media Group wafanya publicity ya kutia nia halafu kwenye action yenyewe waje kunyamaza
Taarifa zinadai kuwa wameshindwa kukamilisha consortium na pia woga wa kukataliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom