OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
cheki hili takataka la arse8 jinsi lilivyojaa mavi kichwani.Tatzo hufatiliii mpira Aseno na cheltako ote tumecheza michezo 28 upo mzee!!
cheki hili takataka la arse8 jinsi lilivyojaa mavi kichwani.Tatzo hufatiliii mpira Aseno na cheltako ote tumecheza michezo 28 upo mzee!!
Nendeni mkagombanie nafasi ya nne na swahiba wako nyumbu fc, nafasi 1,2,na3 ninafasi za wanaume na wote wapo wanaiwakilisha England vizuri sana UCL, wewe Arsenal na Nyumbu muendelee kubaki nawatoto nyumbani.Sisi Kama Arsenali tunaitaka nafasi ya tatu
Wewe mkuu una ujuaji kuliko mim i kwa sababu hata nilichokoment hujaelewaKuna muda unakuaga na ujuaji usio na maana mkuu. Jirekebishe.
Samahani sina nia mbaya. Nimekwambia kiroho safi mkuu.
Mbona waliopewa kandarasi ni wamarekani, hizi naomba zibaki tu kuwa tetesiSources: Roman Abramovich does not want to accept a bid for Chelsea from a country that has sanctioned Russian oligarchs. Abramovich will be able to influence the club’s sale despite having had his assets seized by the Government.
[via Mail Sport]
Tusifurahia situations kama hizi kwa sababu inaweza isiwe na faida kwa ChelseaNimeipenda hii.
SAUDI MEDIA GROUP believe that![]()
Kwa mantiki hii ni kweli kuwa anamsaidia Putin kisiasa, tuhuma ambazo zimezaa hili saga?Kuna tetesi kuwa Roman abrahamovic priority yake n kutowauzia matajiri wanaotoka nchi zilizowawekea vikwazo urusi km Uingereza na marekani........filamu inazidi kuwa tamu
Hana uwezo wa kuamua chochote,serikali ndio itaamuaKuna tetesi kuwa Roman abrahamovic priority yake n kutowauzia matajiri wanaotoka nchi zilizowawekea vikwazo urusi km Uingereza na marekani........filamu inazidi kuwa tamu
Serikali Wana monitor zoezi lote la uuzaji WA timu na kuhakikisha fedha zinazopatikana baada ya mauzo haziendi Kwa Roman directly wala ule mfuko WA kuwasaidia wahanga kule Ukraine....mwenye maamuzi ya mwsho NI yeyeHana uwezo wa kuamua chochote,serikali ndio itaamua
Abramovich hajanyang'anywa umiliki, amewekewa vikwazo tu. So bado muuzaji na mwenye maamuzi ni bosi. Serikali inachofanya ni kutekeleza yaliyomo kwenye vikwazo mojawapo bosi asibenefit direct na mapato baada a vikwazo. Pia serikali itakuwa na sauti ya kutoa license au la kwa mmiliki mpya. Kama kakidhi vigezo vya Serikali hatapewa leseni na option ya pili itabidi ifuatwe hadi timu iuzwe. Pia ujue kuwa Abramovich kupitia mwanasheria wake wanawasiliana na wa serikali ili mambo yasikwame. Sio rahisi Abramovich kuleta chaguo ambalo Serikali itapinga. Aliahidi Chelsea itawekwa mikononi salama. Na mimi naamini atafany hivyo. Hizi tetesi za kwamba hatawauzia wanunuzi lutoka nchi zilizompiga sanction ni story za kijiweni tu.Hana uwezo wa kuamua chochote,serikali ndio itaamua
Hakuna story kama hii just ni tetesi na uongoSources: Roman Abramovich does not want to accept a bid for Chelsea from a country that has sanctioned Russian oligarchs. Abramovich will be able to influence the club’s sale despite having had his assets seized by the Government.
[via Mail Sport]
Hizi ni tetese tuSources: Roman Abramovich does not want to accept a bid for Chelsea from a country that has sanctioned Russian oligarchs. Abramovich will be able to influence the club’s sale despite having had his assets seized by the Government.
[via Mail Sport]
Mimi nahisi kwamba Abrahamvic anajiuzia hii timu.
Yaani bado atakua na control nayo nyuma ya pazia.
Vikwazo vikiisha atarudi.