Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika timu zilizoingia QF, ni Bayern Munich na Liverpool tu ndizo zenye rekodi nzuri kwenye ligi zao over Chelsea katika mechi 8 zilizopita
  1. Bayern won 7, drawn 1 - points gained = 22
  2. Liverpool won 7 lost 1- points gained = 21
  3. Chelsea won 6, drawn 1, lost 1 - points gained = 19
  4. Real Madrid won 6 lost 2 - points gained = 18
  5. Man city won 5, drawn 1 lost 2 - points gained = 16
  6. Vilareal won 4 drawn 2 lost 2 - points gained = 14
  7. Benefica won 3 drawn 3 lost 2 - points gained = 12
  8. Atletico Madrid won 3, drawn 2 lost 3 - points gained = 11
 
BREAKING NEWS!!
Contrary to reports, the Saudi Media Group had not made a bid for Chelsea prior to Friday, and attempts to find wealthy backers in Saudi were proving difficult.
{The Athletic}
 
Managers with 30+ wins in their first 50 Champions League matches:

32—Thomas Tuchel
31—Zinedine Zidane
30—Pep Guardiola
We are playing Real Madrid again!!! This time in the quarter final. First leg at home.

1647694979488.png
 
Timu halina hata chakula cha kuwalisha wacheza kwenye game ...achilia mbali nauli
 
Taarifa imetoka kwamba ratiba ya chelsea imebadilika.

Maana haiwezekani timu mbili za madrid zikacheza siku moja kwenye jiji moja. Atletico vs Man city na Chelsea vs Madrid.

Hivyo chelsea ataanzia Santiago Bernabeu.

Wamebadili kwa sababu hiyo na taarifa imetoka.
UEFA wamekanusha, tutaanzia nyumbani

Chelsea’s two Champions League quarter-final legs against Real Madrid will not be reversed, UEFA has confirmed.

The Blues were initially drawn to host Madrid in the first leg before travelling to the Bernabeu, but there were reports the second leg could instead take place at Stamford Bridge.

Mechi yenye shida ni ile ya marudiano na zitafanyika tarehe tofauti
Real Madrid vs Chelsea on 12 April 2022
Atletico Madrid vs Man City on 13 April 2022
 
Eden Hazard kwa miaka mitatu Laliga ana goli 4 na assists 6 tu
Anakula mshahara wa bure, hii mikataba ingebadilkishwa kuwe na limits
 
Confirmed buyers hadi jana siku ya deadline

1) Boehly-Wyss-Goldstein-Finkelstein consortium - £2.5 bid
2) Ricketts Family - £2.3 bid
3) Sir Martin Broughton
4) Nick Candy - £2.0 bid
5) Aethel Partners - £2.0 bid
6) Woody Johnson - still puting together a consortium - £2.0 bid

Wengine walipiga siasa tu ili wajulikane na wao wapo

Kinachofuata sasa ni mchujo mkono wa Serikali ukifanya kazi hapo
Watakaopendekezwa kwamba wanazo sifa watafanyiwa tathmini na PL ili kuona kama wanazo sifa za kuwa madirectors
 
Confirmed buyers hadi jana siku ya deadline

1) Boehly-Wyss-Goldstein-Finkelstein consortium - £2.5 bid
2) Ricketts Family - £2.3 bid
3) Sir Martin Broughton
4) Nick Candy - £2.0 bid
5) Aethel Partners - £2.0 bid
6) Woody Johnson - still puting together a consortium - £2.0 bid

Wengine walipiga siasa tu ili wajulikane na wao wapo

Kinachofuata sasa ni mchujo mkono wa Serikali ukifanya kazi hapo
Watakaopendekezwa kwamba wanazo sifa watafanyiwa tathmini na PL ili kuona kama wanazo sifa za kuwa madirectors
Report ya leo inasema,
Boehly aliongeza bid yake before kufungwa kwa mda, n akahawakikishia kuwa endapo akifanikiwa ndani ya wiki mbili kila kitu kitakuwa sawa na chelsea vs brentford kutakuwa na mashabiki

Todd Boehly had already submitted a bid between £2-2.5BN, but Telegraph Sport can reveal he made a new, improved offer on this just a few minutes before the deadline. ( @Matt_Law_DT ) https://t.co/Fmq0vjuJKF
 
Report ya leo inasema,
Boehly aliongeza bid yake before kufungwa kwa mda, n akahawakikishia kuwa endapo akifanikiwa ndani ya wiki mbili kila kitu kitakuwa sawa na chelsea vs brentford kutakuwa na mashabiki

Todd Boehly had already submitted a bid between £2-2.5BN, but Telegraph Sport can reveal he made a new, improved offer on this just a few minutes before the deadline. ( @Matt_Law_DT ) https://t.co/Fmq0vjuJKF
Kumbuka pia kuwa ofa sio tu pesa za kununua timu bali pia na vitu atakavyofanya ili kuboresha ushindani wake. Posibly kaongeza pesa lakini pia inaweza kuwa hajaongeza pesa ila kaongeza ahadi kwenye plans zake ya mambo atakayofanya akikubaliwa kununua Chelsea. Hizi ni Investment atakayofanya kwenye facilities na wachezaji na pia uendeshaji mzima wa timu ili iwe sustainable. Mfano wameahidi kurudisha hali kuwa normal kabla ya game na Brentford, hiyo ni mojawapo ya maboresho aliyofanya kwenye bid
 
Kuna watu wamesubmit na hawajaenda public,

Sio kila anaesubmit atasema kwa waandishi wa habar,

BBC wanasema 10-15 ndio wameswma public ila wengine hawajatangaza public

Fatilia mkuu, sio hao tu wako wengi
Very very rare. Ununuzi wa timu kubwa kama Chelsea unaanzia kwenye publicity kwa sababu ya mashabiki, sikatai kuna watakaofanya hivyo, ila trait ya kwanza ya mfanya biashara ni publicity, hata kwenye ndoa na sendoff za watoto wao wanafanya publicity sembuse kwenye uwekezaji wa sport unaohitaji atention ya mashabiki. Tusubiri tuone, hardly that to happen
Mfano haiwezekani Saudi Media Group wafanya publicity ya kutia nia halafu kwenye action yenyewe waje kunyamaza
Taarifa zinadai kuwa wameshindwa kukamilisha consortium na pia woga wa kukataliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom