Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG-20220319-WA0005.jpg
 
Hizo timu hapo Zina European Cups except man city.

Hapo wewe ndio Underdog.

Kunguni.
Mzee as long as we are in good form we don't care ,football is all about win and lose ..wewe ni underdog to haujifichi popote
 
Nauli yenyewe ya kwenda France kucheza final unayo majitu mengine yanaota ndoto za ajabu kweli yani huko dressing room hata maji ya kunywa hamna ,chakula cha kula mchana kwa ajiri ya match huna ,wapishi wote hawana cha kupika ....wewe kwa Sasa unatapatapa kama mfia maji tu ....
Unateseka ukiwa wapi.

Maana imagine tunapitia hizo shida zote ila bado tunawashia moto.
 
katika kikao cha Uefa kilichokaa jana wamejadili na wanafikiria kuipiga ban Chelsea, baada ya kuonekana kuwa inafadhiliwa na genge la waarifu
 
katika kikao cha Uefa kilichokaa jana wamejadili na wanafikiria kuipiga ban Chelsea, baada ya kuonekana kuwa inafadhiliwa na genge la waarifu
Wanaogopa isichukue UEFA maana, wanaona Moto sio wa kitoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom