Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Wewe unapigiania Nini mpaka SasaWee jamaa akili huna, badala y kupambana na timu yako. Ilikua inaongoza point 13 sahv imebak moja. Kazi kuzunguka na kidera kw wanaume.
Wewe unapigiania Nini mpaka SasaWee jamaa akili huna, badala y kupambana na timu yako. Ilikua inaongoza point 13 sahv imebak moja. Kazi kuzunguka na kidera kw wanaume.
Madrid hii hii ambayo haijawahi kumfunga chelsea?Nazuiwa na nani?
Liverpool vs Madrid final
Hizo timu hapo Zina European Cups except man city.Nishasema chelsea Bado ni underdog kwenye huu msafara ...pamoja na kuwa sijui bingwa mtetezi![]()
Kwamba tusilipe nauli?
Mzee as long as we are in good form we don't care ,football is all about win and lose ..Hizo timu hapo Zina European Cups except man city.
Hapo wewe ndio Underdog.
Kunguni.



wewe ni underdog to haujifichi popoteAtletico anakung'oa ng'ombe wewe.Mzee as long as we are in good form we don't care ,football is all about win and lose ..wewe ni underdog to haujifichi popote
Yaah inawezekana akatutoa na sisi tunaweza kumtoa vile vileAtletico anakung'oa ng'ombe wewe.



Fainali Chelsea na Bayern.Yaah inawezekana akatutoa na sisi tunaweza kumtoa vile vile![]()
Wewe takataka mbwa Koko ndio ufike finalFainali Chelsea na Bayern.
Wewe kwenye UEFA ni mdebwedo sana. Ile siyo epl.
Wait and see.




huna hata nauli ya kwenda Madrid boyaa wewe 



We subiri tar 28 mwezi wa 5Wewe takataka mbwa Koko ndio ufike finalhuna hata nauli ya kwenda Madrid boyaa wewe
![]()
Nauli yenyewe ya kwenda France kucheza final unayoWe subiri tar 28 mwezi wa 5


majitu mengine yanaota ndoto za ajabu kweli yani 
huko dressing room hata maji ya kunywa hamna ,chakula cha kula mchana kwa ajiri ya match huna ,wapishi wote hawana cha kupika ....wewe kwa Sasa unatapatapa kama mfia maji tu ....Unateseka ukiwa wapi.Nauli yenyewe ya kwenda France kucheza final unayomajitu mengine yanaota ndoto za ajabu kweli yani
huko dressing room hata maji ya kunywa hamna ,chakula cha kula mchana kwa ajiri ya match huna ,wapishi wote hawana cha kupika ....wewe kwa Sasa unatapatapa kama mfia maji tu ....
Chelsea ipi mzee inafika fainali? Au Chelsea ya Mbauda?Fainali Chelsea na Bayern.
Wewe kwenye UEFA ni mdebwedo sana. Ile siyo epl.
Wait and see.
Bayern anasubiri kufanya mazoezi na wewe.Chelsea ipi mzee inafika fainali? Au Chelsea ya Mbauda?
waarifu ndio kitu ganikatika kikao cha Uefa kilichokaa jana wamejadili na wanafikiria kuipiga ban Chelsea, baada ya kuonekana kuwa inafadhiliwa na genge la waarifu
Wanaogopa isichukue UEFA maana, wanaona Moto sio wa kitoto.katika kikao cha Uefa kilichokaa jana wamejadili na wanafikiria kuipiga ban Chelsea, baada ya kuonekana kuwa inafadhiliwa na genge la waarifu