lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,490
Nimechemka upande wa kulia kuna Christensen na sio RudigerMwanangu hao wote watakimbilia kwa alonso sabab huo ndo uchochoro na kila mchezaji anajua hilo uwanja utainamia upande wa alonso
Nimechemka upande wa kulia kuna Christensen na sio RudigerMwanangu hao wote watakimbilia kwa alonso sabab huo ndo uchochoro na kila mchezaji anajua hilo uwanja utainamia upande wa alonso
Taarifa imetoka kwamba ratiba ya chelsea imebadilika.Hapana, lile dude la Chelsea lilikuwa la kwanza kunyanyuliwa, dude la kwanza ni timu ya nyumbani
Mtanange unaanzia darajani 5 April 2022 na marudio ni Barnabeu 13 April 2022
Asante kwa taarifaTaarifa imetoka kwamba ratiba ya chelsea imebadilika.
Maana haiwezekani timu mbili za madrid zikacheza siku moja kwenye jiji moja. Atletico vs Man city na Chelsea vs Madrid.
Hivyo chelsea ataanzia Santiago Bernabeu.
Wamebadili kwa sababu hiyo na taarifa imetoka.
Ombi langu chalobah na sur wesiawemo katika safu ya ulinzi tukiwa tunacheza Madrid hiyo tarehe 5.... wanafanya makosa ya wazi na bezema yeye anasubilia makosa kama ya chalobah, ila madrid tutaiweza tu.Hao pa kuwakamatia ni mabeki tu wawe wazima,
James arudi kwenye form, Silva, Rudiger na Christensen wawe kwenye form
Katikati Kante na Kovacic wawe kwenye form
James atamthibiti V. Juniour na mbio zake
Silva na Rudiger wamnyime kabisa Benzema nafasi ya kushoot
Imebaki vile vileTaarifa imetoka kwamba ratiba ya chelsea imebadilika.
Maana haiwezekani timu mbili za madrid zikacheza siku moja kwenye jiji moja. Atletico vs Man city na Chelsea vs Madrid.
Hivyo chelsea ataanzia Santiago Bernabeu.
Wamebadili kwa sababu hiyo na taarifa imetoka.
Ombi langu chalaboh na sur wesiawemo katika safu ya ulinzi tukiwa tunacheza Madrid hiyo tarehe 5.... wanafanya makosa ya wazi na bezema yeye anasubilia makosa kama ya chalobah, ila madrid tutaiweza tu.
Chalobah, God forbid, mechi kubwa hawezi. Asubiri tu mechi na Norwich cityOmbi langu chalaboh na sur wesiawemo katika safu ya ulinzi tukiwa tunacheza Madrid hiyo tarehe 5.... wanafanya makosa ya wazi na bezema yeye anasubilia makosa kama ya chalobah, ila madrid tutaiweza tu.
Kati hioo orodha man shitty ndio hajaawahi hata beba still anajiona kidumeWewe ndo mbumbumbu kabisa hujui kuwa huyo unayemsema underdog ndiye bingwa mtetezi wa mashindano haya, chunguza vizuri ktk orodha hiyo kuna mmoja tu ndo hajawahi kubeba kombe hilo huyo ndo underdog.



Hahahahah wewe fala ssns unajuaKatika timu ambazo sifuatilii na sijui uwepo wake ni Chelsea yaani sijui hata kwanini...!timu Haina mizuka kabisa yaani Jana kibanda umiza chore kinaangalia game ya arsenal vs liverpool .....!
Harafu nikija huku jf nakuta watu wanapiga kelele et Chelsea sijui daaa![]()



Fainali Chelsea na Bayern au Chelsea na Liverkuku.Chelsea tunaenda kuchukua uefa kwa msimu huu pia. Screen shot hii comment yangu kisha tarehe 29 may utakuwa na jibu
Serious buyers hadi sasa leo ni deadline
1) Saudi Media Group £2.7 bid
2) Boehly-Wyss-Goldstein-Finkelstein consortium - £2.5 bid
3) Ricketts Family - £2.3 bid
Katika individuals walioomba kuinunua Chelsea Ken Griffin kutoka Ricketts Family ndie bilionea tajiri kuliko wote walioomba. Ana utajiri unaomzidi Abramovich mara 3
4) Sir Martin Broughton
Huyu amekuwa long term supporter wa Chelsea
5) Nick Candy - £2.0 bid
Naye ni supporter wa muda mrefu wa Chelsea akipewa suport na Gianluca Vialli ambaye aliwahi kuwa mchezaji no 9 na pia meneja wa Chelsea katika miaka ya 90's mwishoni
6) Aethel Partners - £2.0 bid
7) Woody Johnson - still puting together a consortium - £2.0 bid
8) Muhsin Bayrak
9) Mengineyo
John Tery nasikia naye anataka kununua 10% ya share
Ricketts family n Nick Candy wanampango wa kuungana
Raine Group wanasema inawezekana wa mwisho akainunua Chelsea kulingana na uharaka wa mauzo unavyotegemewa kuwa
Inasemekana baada ya leo tarehe 18, zoezi la mauzo litakwenda kwa kasi na baada ya wiki hivi mnunuzi atakuwa amejulikana ili michakato mingine ifuate mkondfo wake
Sky News has learnt that Clearlake Capital, which has roughly $60bn of assets under management, has signed up to a consortium headed by Todd Boehly, the LA Dodgers part-owner. (Sky)Kwa jana kulikuwa na bidders 27 ila source zilisema kuna wengine bado hawajasubmit bids zao ila leo watasubmitSerious buyers hadi sasa leo ni deadline
1) Saudi Media Group £2.7 bid
2) Boehly-Wyss-Goldstein-Finkelstein consortium - £2.5 bid
3) Ricketts Family - £2.3 bid
Katika individuals walioomba kuinunua Chelsea Ken Griffin kutoka Ricketts Family ndie bilionea tajiri kuliko wote walioomba. Ana utajiri unaomzidi Abramovich mara 3
4) Sir Martin Broughton
Huyu amekuwa long term supporter wa Chelsea
5) Nick Candy - £2.0 bid
Naye ni supporter wa muda mrefu wa Chelsea akipewa suport na Gianluca Vialli ambaye aliwahi kuwa mchezaji no 9 na pia meneja wa Chelsea katika miaka ya 90's mwishoni
6) Aethel Partners - £2.0 bid
7) Woody Johnson - still puting together a consortium - £2.0 bid
8) Muhsin Bayrak
9) Mengineyo
John Tery nasikia naye anataka kununua 10% ya share
Ricketts family n Nick Candy wanampango wa kuungana
Raine Group wanasema inawezekana wa mwisho akainunua Chelsea kulingana na uharaka wa mauzo unavyotegemewa kuwa
Inasemekana baada ya leo tarehe 18, zoezi la mauzo litakwenda kwa kasi na baada ya wiki hivi mnunuzi atakuwa amejulikana ili michakato mingine ifuate mkondfo wake
Tunaanzia nyumbani au ugenini?Uzuri mmoja
Tunacheza na Real Madrid ambayo inafukuzia ubingwa, sisi hatuna cha kupoteza, full squad, full nondo
Tukikutana na City SF, tunakutana na timu ambayo nayo ina jambo lao na Liverpool. Pia hatukuwa na cha kupoteza, full squad, full nondo
Ugenini tunaanzaTunaanzia nyumbani au ugenini?
Tunaanzia nyumbaniUgenini tunaanza
liverpool hafiki fainal.Fainali Chelsea na Bayern au Chelsea na Liverkuku.
Yoyote kati ya hao lazima ajute.