Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1647603011448.png
 
Hao pa kuwakamatia ni mabeki tu wawe wazima,
James arudi kwenye form, Silva, Rudiger na Christensen wawe kwenye form
Katikati Kante na Kovacic wawe kwenye form

James atamthibiti V. Juniour na mbio zake
Silva na Rudiger wamnyime kabisa Benzema nafasi ya kushoot
Hizo beki ulizotaja hapa zikiwa poa huyo madrid anakufa vizuri kabisa. Hachomoki.
 
Vinicius Junior hachezi upande wa Alonso, anacheza Left Wing na anayemzuia ni James, akimpita james anakutana na Rudiger, End of story
Alonso kama atacheza atapambana na Asensio
Mwanangu hao wote watakimbilia kwa alonso sabab huo ndo uchochoro na kila mchezaji anajua hilo uwanja utainamia upande wa alonso
 
Mwanangu hao wote watakimbilia kwa alonso sabab huo ndo uchochoro na kila mchezaji anajua hilo uwanja utainamia upande wa alonso
That is too much insult, hata kama anaborongaga, Alonso anahitaji heshima angalau kidogo. Winga wa kushoto hawezi hamia kulia sijawahi kuona hiyo. sana sana anaweza cheza popote wakati wa kushambulia kwenye final third na wakati huo kila mchezaji anakuwa ni defender
 
Mechi yetu na Madrid tunaanzia ugenini kisha tunamalizia darajani
Hapana, lile dude la Chelsea lilikuwa la kwanza kunyanyuliwa, dude la kwanza ni timu ya nyumbani
Mtanange unaanzia darajani 5 April 2022 na marudio ni Barnabeu 13 April 2022
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom