John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Mmh Mzee huyo ameajiliwa kama mshauri na nick candy na si bilioneaGianluca Vialli (Muitaliano) ambaye ni bilionea anayemsuport Nick Candy kwenye kuinunua Chelsea alishawahi kuichezea Chelsea kama na 9 na pia kuwa meneja wa timu. Baada ya kustaafu soka mwaka uliofuatia yaani 99/00 alikuwa rasmi manager wa Chelsea na alishinda FA Cup, League Cup, UEFA Cup Winners Cup and UEFA Super Cup
Sasa anataka kurudi kama mmiliki wa Chelsea
View attachment 2154828