Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Draw ya qf+semi final itafanyika hapo ijumaa mchana
Zilizofuzu
Chelsea
Liverpool
Man city
Real madrid
Villareal
Atl madrid
Bayern Munich
Benfica


Yoyote yule tunaweza pewa , tim kutoka nchi moja zinaweza kutana kuanzia sasa
 
Pulisic amekuwa kwenye form ya hali ya juu Sana na hii pia imechangiwa na kuchezeshwa kwenye nafasi sahihi, chalobah sijui ana shida gani amekuwa anafanya makosa ya kijinga sana
 
Kama kawaida Chelsea ni underdog kwenye huu msafara
championsleague-20220317-0001.jpg
 
Wewe ndo mbumbumbu kabisa hujui kuwa huyo unayemsema underdog ndiye bingwa mtetezi wa mashindano haya, chunguza vizuri ktk orodha hiyo kuna mmoja tu ndo hajawahi kubeba kombe hilo huyo ndo underdog.

Kubali tu katika hizo timu Chelsea ni underdog ,haijalishi ni bingwa mtetezi au laaah😅😅😅😅
 
Kama kawaida Chelsea ni underdog kwenye huu msafaraView attachment 2153545
Mkuu hatujakataa. Sisi ni Underdog.

Tuna UEFA Cup 2
Tuna UEFA Super Cup 1
Tuna Club World Cup 1.

Man City anazo ngapi?. Badala ya kutumia nguvu nyingi kukaza vuvu hapa kwa next level bor ukomae upate walau kombe moja hapo juu.

Wewe level zako ni kina QPR, Sheffield United, Bournemouth n.k
 
Mkuu hatujakataa. Sisi ni Underdog.

Tuna UEFA Cup 2
Tuna UEFA Super Cup 1
Tuna Club World Cup 1.

Man City anazo ngapi?. Badala ya kutumia nguvu nyingi kukaza vuvu hapa kwa next level bor ukomae upate walau kombe moja hapo juu.

Wewe level zako ni kina QPR, Sheffield United, Bournemouth n.k
Chelsea timu inayoongoza kwa kutesa watu na bado kombe tunalitaka
 
Katika timu ambazo sifuatilii na sijui uwepo wake ni Chelsea yaani sijui hata kwanini...!timu Haina mizuka kabisa yaani Jana kibanda umiza chore kinaangalia game ya arsenal vs liverpool .....!

Harafu nikija huku jf nakuta watu wanapiga kelele et Chelsea sijui daaa😅😅😅😅😅😅
 
Katika timu ambazo sifuatilii na sijui uwepo wake ni Chelsea yaani sijui hata kwanini...!timu Haina mizuka kabisa yaani Jana kibanda umiza chore kinaangalia game ya arsenal vs liverpool .....!

Harafu nikija huku jf nakuta watu wanapiga kelele et Chelsea sijui daaa
Crystal Palace sio magaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom