Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,721
- 126,568
Tuweke matumaini hapaAtanza kuzikusanya hizo mpaka fainal
Tuweke matumaini hapaAtanza kuzikusanya hizo mpaka fainal
Msituangushe vilabu vya malkia, tunataka clean sheet hata kama ni drawalKwa mktadha wa uefa tunawaomba muungane na wenzenu mje kwa wingi pale wanda metropolitano mashetani tuna jambo letu.
Baadhi ya mashabiki wa the blues tunaomba mengi kutoka kwa kocha wetu TT wakati amesha tupa ya kutosha.Mimi nimeshindwa Hadi cha kuandika kuhusu Hilo.
Mtu anamlaumu kocha, kocha ambaye ametupatia karibu kila kombe muhimu duniani kwa muda mfupi. Mnataka Mungu awape nn enyi kizazi cha nyoka!?
Wachezaji haohao ndio wameleta hayo makombe, kln lawama kibao toka kwetu mashabiki (baadhi)
Bado taarifa yake ijatokaKuhusu Ziyech vp final atacheza kwel?
2-0 ni ushidi mkubwa kwa the blues, Juve alie ongoza kundi letu katoka sare ya 1-1, kwahiyo tusimulaumu TT kwa mchezo wa spidi ya konokono@lembu aina ya wachezaji wetu sio wa kasi, tukilazimisha kucheza kama timu fulani inavo cheza, tutakosa hata nafasi ya nne kwenye Epl hi Uefa Semi tunafika na final tutacheza na PSG na kwa mfumo wetu tutawashinda kwa mikwaju ya panati baada ya kutoka sare ya 1-1....note my words
Wale biashara wa madrid wanapasuka kwao hapo hapoMsituangushe vilabu vya malkia, tunataka clean sheet hata kama ni drawal
Copy right alipotupiga pale Asian Aliance ArenaHii header ya Havertz inanikumbusha ile ya Muller 2012

Baadae tembo mwenyewe Didie Drogba kasawazisha na the same header

Ya Drogba haikuwa ya kudundisha kama ile ya Muller.Copy right alipotupiga pale Asian Aliance ArenaBaadae tembo mwenyewe Didie Drogba kasawazisha na the same header
![]()
Tofauti ya Lille na hizo timu ulizotaja ni ukatili mbele ya goal.Hata kama kaongoza sio tatizo Lile ni oponent wa kawaida, huwezi kufananisha na mechi na Liverpool wikiend. Ufaranza wako PSG tu ndio level ya Chelsea
Hao wanabeti achana nao. Wanajua mpira mdomoni na si uwanjani.Kuna washabiki humu wanavyoikosoa Chelsea kana kwamba anacheza na coastal union
Mkuu mashabiki wa Chelsea wanataka kila mchezaji afunge. Hapo utaona furaha zao. Kitu ambacho ni ngumu. Wengine wanashinda betting place wakiwa na matokeo yao mkononi. Shida ndiyo hiyo so we hata usiangaike nao.Mimi nimeshindwa Hadi cha kuandika kuhusu Hilo.
Mtu anamlaumu kocha, kocha ambaye ametupatia karibu kila kombe muhimu duniani kwa muda mfupi. Mnataka Mungu awape nn enyi kizazi cha nyoka!?
Wachezaji haohao ndio wameleta hayo makombe, kln lawama kibao toka kwetu mashabiki (baadhi)
Hatuna shida na ninyi mkapande tu. Kupata point 3Kwa mktadha wa uefa tunawaomba muungane na wenzenu mje kwa wingi pale wanda metropolitano mashetani tuna jambo letu.
Futa hiiBaadhi ya mashabiki wa the blues tunaomba mengi kutoka kwa kocha wetu TT wakati amesha tupa ya kutosha.
hatuna shukurani, angalia tumu kama Man u, arsenal T tnam, wanatumia pesa nyingi kuliko hata Chelsea ila hawana chochote, na kumalizia tu kwenye nafasi ya nne kwenye Epl kwao ni ushindi, wakati chelsea inaona ni lazma imelizie in top 4 kama sio kuchukua kombe kabisa..........tufikie mahara tu ridhike huo mpira wa kasi mnao taka hausaidie kama hushidi vikombe angalia Barcelona inovo struggle kwasasa kwa kulazimisha mpira wake wakasi,
Kwanini mkuu ifutwe leta hojaFuta hii
Acha uduanzi wewe, kwahiyo kama kuna mambo hayapo sawa tusicriticize kisa ametupa makombe, morinho ni moja ya makocha walioipa chelsea heshima ya makombe, lakin alivyozingua alitimuliwa vile vile.Mimi nimeshindwa Hadi cha kuandika kuhusu Hilo.
Mtu anamlaumu kocha, kocha ambaye ametupatia karibu kila kombe muhimu duniani kwa muda mfupi. Mnataka Mungu awape nn enyi kizazi cha nyoka!?
Wachezaji haohao ndio wameleta hayo makombe, kln lawama kibao toka kwetu mashabiki (baadhi)
Na hiyo ndio tofauti ya false no. 9 na striker. Kuna faida na hasara za kila mfumo. Striker wengi wanapata fursa chache na kuzitumia. Mfano wa Drogba na Costa. Ila pia mfumo wa Chelsea kwa miaka mingi haiwawezeshi strikers kufanya vizuri. Inawezesha zaidi falso no 9 kufunga na ndio maana Lukaku atatakiwa kuweka juhudi sana kufit huu mfumo. Akija Kane kwa mfano atafit kwa sababu yete huwa hachezi kama natural striker hata akipangwa no. 9. Yeye hucheza zaidi kama false no. 9 au wide winger. Hivyo hivyo kwa akina Werner, Havertz, Pulisic nk. Tukicheza na oponent anayefunguka kwenye open play Lukaku anaweza funga ila kwa timu zenye kujaza mabeki nyuma Lukaku atacheza kwa shoda sanaKuna tofauti kubwa sana ya kiuchezaj akiwa havertz kama false no 9 na akiwa lukaku kama no 9 halisi/ target man
Uwepo wa havertz tunaona kabisa fluidity katika ushambuliaji, ni tofauti na uwepo wa lukaku
Sio kwa mech moja tu ya leo mechi nyingi tu anazocheza havertz unaona kabisa tunacreate chance za kufunga.
Jins anavyolink kwenye build up, movement zake unakuta anaitanua defens ya tim pinzan.
Sasa pale si kateleza MzeeMendy bana, sometime sijui anawaza nini


mashabiki 
Dah kuna mmoja anakuambia haelewi Ufundishaji WA TTNi ujuaji na ulimbukeni wala msipate nao shida then watakuja hapa kusifu na kupongeza timu ikishinda
....mwingine mchezaji akiteleza Tu lawama 