Nahisi huenda ikawa kama tahadhari maana j2 tunafainal n liverpoolZiyech anatoka kaumia, hope sio serious
Bora hata wewe umeona,kuna watu watakwambia sijui lukaku kafanyajeKuna tofauti kubwa sana ya kiuchezaj akiwa havertz kama false no 9 na akiwa lukaku kama no 9 halisi/ target man
Uwepo wa havertz tunaona kabisa fluidity katika ushambuliaji, ni tofauti na uwepo wa lukaku
Sio kwa mech moja tu ya leo mechi nyingi tu anazocheza havertz unaona kabisa tunacreate chance za kufunga.
Jins anavyolink kwenye build up, movement zake unakuta anaitanua defens ya tim pinzan.
Mimi nimeshindwa Hadi cha kuandika kuhusu Hilo.Kuna washabiki humu wanavyoikosoa Chelsea kana kwamba anacheza na coastal union
Ni ujuaji na ulimbukeni wala msipate nao shida then watakuja hapa kusifu na kupongeza timu ikishindaMimi nimeshindwa Hadi cha kuandika kuhusu Hilo.
Mtu anamlaumu kocha, kocha ambaye ametupatia karibu kila kombe muhimu duniani kwa muda mfupi. Mnataka Mungu awape nn enyi kizazi cha nyoka!?
Wachezaji haohao ndio wameleta hayo makombe, kln lawama kibao toka kwetu mashabiki (baadhi)
Kazi ndio imeanza sasa.View attachment 2128151