Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

2-0 ni ushidi mkubwa kwa the blues, Juve alie ongoza kundi letu katoka sare ya 1-1, kwahiyo tusimulaumu TT kwa mchezo wa spidi ya konokono@lembu aina ya wachezaji wetu sio wa kasi, tukilazimisha kucheza kama timu fulani inavo cheza, tutakosa hata nafasi ya nne kwenye Epl hi Uefa Semi tunafika na final tutacheza na PSG na kwa mfumo wetu tutawashinda kwa mikwaju ya panati baada ya kutoka sare ya 1-1....note my words
Final ipi mmecheza na psg ,embu tukumbushe
 
Copy right alipotupiga pale Asian Aliance Arena Baadae tembo mwenyewe Didie Drogba kasawazisha na the same header
Ile ya Drogba sio ya kufananisha na Muller. Ilipigiwa rula na kufanyiwa zile formula za projection kwenda kwenye ile angle ya 90 degree. Kama huamini nenda kaangalie replay na hasa maneno ya mtangazaji
 
Acha uduanzi wewe, kwahiyo kama kuna mambo hayapo sawa tusicriticize kisa ametupa makombe, morinho ni moja ya makocha walioipa chelsea heshima ya makombe, lakin alivyozingua alitimuliwa vile vile.

Kukosoa ni moja ya njia kujenga.
Huna lolote umejaa ujuaji wa kishamba tu kwan kila jambo llazima uje na criticism ni nan ambaye hakosei
Ww umefundisha timu gan ili tuone ubora wako

Maviiiii takataka ghasia na ulimbukeni tu unakusumbua
 
Huna lolote umejaa ujuaji wa kishamba tu kwan kila jambo llazima uje na criticism ni nan ambaye hakosei
Ww umefundisha timu gan ili tuone ubora wako

Maviiiii takataka ghasia na ulimbukeni tu unakusumbua
Embu tuliza papa hilo lililoshavimba. Kwa hiyo mtu haruhusiwi kukosoa mpk awe amefundisha timu?, we mtoto kweli choko.
 
Ile ya Drogba sio ya kufananisha na Muller. Ilipigiwa rula na kufanyiwa zile formula za projection kwenda kwenye ile angle ya 90 degree. Kama huamini nenda kaangalie replay na hasa maneno ya mtangazaji
Ile kichwa ilikuwa hatari sana. Nilikaa na jamaa moja wa Man u akasema mamaaaaaa
 
Na hiyo ndio tofauti ya false no. 9 na striker. Kuna faida na hasara za kila mfumo. Striker wengi wanapata fursa chache na kuzitumia. Mfano wa Drogba na Costa. Ila pia mfumo wa Chelsea kwa miaka mingi haiwawezeshi strikers kufanya vizuri. Inawezesha zaidi falso no 9 kufunga na ndio maana Lukaku atatakiwa kuweka juhudi sana kufit huu mfumo. Akija Kane kwa mfano atafit kwa sababu yete huwa hachezi kama natural striker hata akipangwa no. 9. Yeye hucheza zaidi kama false no. 9 au wide winger. Hivyo hivyo kwa akina Werner, Havertz, Pulisic nk. Tukicheza na oponent anayefunguka kwenye open play Lukaku anaweza funga ila kwa timu zenye kujaza mabeki nyuma Lukaku atacheza kwa shoda sana
Kwa uchezaji wetu sidhan kama tulimuhitaj lukaku,
Tunastruggle anapokuwepo,

Nigame mbili mpk 3 za ligi ndio hatukustruggle uwepo wake
Against arsenal, na vs aston villa zote za home n away,

Ila zilizosalia nikama tunastruggle tu akiwepo
 
Tuchel sasa ana changamoto kubwa
Havertz yuko kwenye form na kasema nafasi inayomfaa ni no. 9 na ameonyesha kwa vitendo
Lukaku yuko mzima hana majeruhi na mchezaji wa pesa kubwa anaweza kukaa benchi kweli?
TT kadai mechi ya jana kamuweka benchi Lukaku wa sababu anadhani yuko exausted
Je jumapili ataendelea kukaa benchi au atarudi uwanjani?
Hii mimi naiona kama changamoto kubwa kwa sababu bodi ya Chelsea hawatakubali kuona mradi wao mkubwa waliowekeza kwa Lukaku inakuwa wasted kwa kuwekwa benchi akiwa mzima. Na TT kwa upande wake anaona kumchezesha Havertz ndio itaipa timu ushindi dhidi ya Liverpool.

Mimi naona TT angeendelea kumuweka Lukaku benchi

Twende na hii format 3-4-3

Werner -----------------Havertz --------------------Mount

Alonso ------- Jorgninho ------ Kante ---------Azpilicueta

Rudiger ----------------- Silva -------------------Christansen

Mendy
Asumption
Ziyech na Kovacic watakuwa majeruhi
 
Chelsea kweli hatuna wafungaji kabisa,
1645647922196.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom