Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimependa kikosi Cha leo Pulisic kawekwa kwenye nafasi yake sahihi Lukaku kukaa benchi safi Sana Leo ndio tutashuhudia soka tamu la chelseafc kama wachezaji watakuwa kwenye ubora wao
Tukizidiwa kushoto Alonso sio wa kuaminiwa, tukicheza vizuri na Alonso akawa na mind set ya kushambulia mambo yatakuwa safi kwa upande wetu
 
Chelsea kama kawaida, wanacheza kikonokono sijui ni ni kocha au wachezaji wanaamua tu
 
Huu mfumo wa uchezaji wa Chelsea ni mfumo wa kipumbavu sana, wanachocheza wanajua wenyewe. Hapa ninawalaumu sana wanaosema Lukaku hafungi, kwa utaratibu huu hata aje ST gani unayemuamini duniani kama R. Lewandowsk au H. Kane, bado hawezi kufunga. Timu inashambulia kama kinyonga huku ikipiga backpass kibao au sideway passes badala ya kupeleka mipira mingi mbele kwa kasi. Hapa TT akiendelea na mfumo wake huu mwisho wa siku kibarua kitaota mbawa. Timu inacheza utadhani hawali au hawajalipwa mshahara miezi 6
 
We huna macho leo chelseafc imechangamka kweli kweli sema wapinzani wanakaba man to man
I am very sory, tunacheza na oponent wa kawaida. Chelsea ni ile ile mpira wa kuvuta sana na kucheza kwa umaridadi. hawako sharp wala hakuna pasi za haraka haraka. labda waje second half wamebadilika
 
I am very sory, tunacheza na oponent wa kawaida. Chelsea ni ile ile mpira wa kuvuta sana na kucheza kwa umaridadi. hawako sharp wala hakuna pasi za haraka haraka. labda waje second half wamebadilika
lembu unaniangusha sana Nani kwakuambia lile ni wa kawaida? Hiv tulivyocheza leo Unaweza kulinganisha na game dhidi ya crystal Palace hao jamaa wanachsza kimbinu Sana
 
lembu unaniangusha sana Nani kwakuambia lile ni wa kawaida? Hiv tulivyocheza leo Unaweza kulinganisha na game dhidi ya crystal Palace hao jamaa wanachsza kimbinu Sana
Wewe ndio unatuangusha kulinganisha Lile na Chelsea na hatukupaswa kujadili hiyo mada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom