Tuchel sasa ana changamoto kubwa
Havertz yuko kwenye form na kasema nafasi inayomfaa ni no. 9 na ameonyesha kwa vitendo
Lukaku yuko mzima hana majeruhi na mchezaji wa pesa kubwa anaweza kukaa benchi kweli?
TT kadai mechi ya jana kamuweka benchi Lukaku wa sababu anadhani yuko exausted
Je jumapili ataendelea kukaa benchi au atarudi uwanjani?
Hii mimi naiona kama changamoto kubwa kwa sababu bodi ya Chelsea hawatakubali kuona mradi wao mkubwa waliowekeza kwa Lukaku inakuwa wasted kwa kuwekwa benchi akiwa mzima. Na TT kwa upande wake anaona kumchezesha Havertz ndio itaipa timu ushindi dhidi ya Liverpool.
Mimi naona TT angeendelea kumuweka Lukaku benchi
Twende na hii format 3-4-3
Werner -----------------Havertz --------------------Mount
Alonso ------- Jorgninho ------ Kante ---------Azpilicueta
Rudiger ----------------- Silva -------------------Christansen
Mendy
Asumption
Ziyech na Kovacic watakuwa majeruhi