Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

heshma ambayo nyumbu assanal na livakuku wanatakiwa kuitoa wakipata kagol kwa mabingwaView attachment 2074689
Jana uwanja haukuwa na shamra shamra zozote, magoli ya Chelsea yalifungwa kimya kimya ila goli lao lilipoingia utadhani wao ndio wameshinda. Inavyoelekea hii timu kwanza wameweka rekodi ya kucheza na mabingwa wa Ulaya, pili wameweka rekodi ya kuifunga goli bingwa wa ulaya. Hiyo ndio kiini cha wao kushangilia
 
Pia zaidi ya nusu ya mashabiki wa chesterfield ndo waliajza uwanja...
Ilikuwa ni fursa zuri kwa kupata nafasi ya kucheza na mabingwa wa Ulaya. Timu hii ipo daraja la nne kupata nafasi hii adimu ina maana kubwa sana kwao katika historia ya club yao.
 
Au ndo maana wanamzungumzia dest
Kuna kila dalili kuwa Chelsea hawana mpango wa kumnunua mchezaji Janury. Wao wanataka wa kumchukua kwa mkopo na timu nyingi kwa sababu ya ukwasi hawataki mkopo.
Everton wanataka cash kwa Lucas Dyner na naona Aston Villa wao wako tayari kufungua pochi
Plan B ya Chelsea ni aidha kumrudisha Emerson au kumuweka Hall kuwa backup ya Alonso
1641808475511.png
 
Yaaani kumbe mnacheza jumatano then jumamos mapema mnakuja kukutana na sisi ......ambao week nzima hatujacheza

Haki ya Mungu mtajuta kuingia uwanjani jumamosi ...


Yaani mtajuta kuweka timu yenu uwanjani siwafichi
Sawa muda wa tambo. Kabla ya mchezo na baada ya mchezo mpira lazima mtambiane bhana au siyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom