Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwahyo mnamaanisha Rudiger ni furushi kama Furushi Lukaku?
Akishatoka the blues watamkataa.... [emoji16][emoji16][emoji16]

Curtouis wakati anafika Real madrid unakumbuka?

Eden Hazard je?

Ila yote waliyaanza wao kwa Morata.

Hatujasahau bado.
 
Issue ya rudiger sawa anahitaj 200K kwa wiki na anastahili kupokea ila kitendo cha kumuongezea mchezaj kwa 100% huwa kinaharibu hali ya hewa katika makubaliano na wachezaj wengine, kila mtu anaweza demand 100% ya ongezeko

Sidhan kama kuna club yeyote inayoweza fanya hilo
 
Asije huyu ni PEPE WA ARSENAL NAMBA 2
yuko vzur ila upande wa injury[emoji22][emoji119] pulisic akasome
IMG-20220105-WA0006.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom