lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Kwani nani kasema Mungu!Fabrizio Sio MUngu Mkuu!
Ila unamjua kuwa yeye ni nani
Kwani nani kasema Mungu!Fabrizio Sio MUngu Mkuu!
Anajua sana dgoLewis Hall ana miaka 17 tu, What a great baller
Confident, Great Passer and great defender
Hall has featured in several positions this season for our academy teams, including left-back, wing-back and central midfield.
As a naturally left-footed player, he can operate anywhere on his favoured side of the pitch and also has the ability to play more box-to-box when in central areas. He makes his men's first team debut on the left of a back-three.
Naona TT anamuandaa awe backup ya Alonso kwa msimu huu
View attachment 2074226
Vipi game ya man city watakuwepo?Mendy, Silva na Kante wamepatwa na Omicron
14 days quarantine
Silva na Kante wanarudi tar 12/1/2022











Jana Silva alipima tena na vipimo vimekuja negative so huenda akarudi kabla ya hyo tareheMendy, Silva na Kante wamepatwa na Omicron
14 days quarantine
Silva na Kante wanarudi tar 12/1/2022
Hata kama ni negative anatakiwa kuongeza siku 3 na ndio maana inaonyesha tarehe 12 game na Spurs watakuwepo wote wawili, yaani Kante na SilvaJana Silva alipima tena na vipimo vimekuja negative so huenda akarudi kabla ya hyo tarehe
wanarudi tarehe 12/1 Silva na Kante, japo hawaumi ila wanatakiwa kukaa siku tatu zaidi baada ya vipimo kuonyesha negativeVipi game ya man city watakuwepo?
Bado ujajibu swali Kante na Silva watakuwepo game against citywanarudi tarehe 12/1 Silva na Kante, japo hawaumi ila wanatakiwa kukaa siku tatu zaidi baada ya vipimo kuonyesha negative
Yaaani kumbe mnacheza jumatano then jumamos mapema mnakuja kukutana na sisi ......ambao week nzima hatujacheza
Haki ya Mungu mtajuta kuingia uwanjani jumamosi ...
Yaani mtajuta kuweka timu yenu uwanjani siwafichi![]()






lwb tunatakiwa tucheze karata tupate ataekua anakipiga pande zote kama james vileTunahitaji kufanya sajili sio chini ya 3 dirisha hili kuboresha kikosi chetu.
Moja ya kuondoa utoto kule mbele
Kiungo mkabaji
LWB
utamwadisia kilichokutokea au tumuache kwanza

Kama mlidraw na sisi liver basi nawaambia city hammfungi hata mfanyeje.utamwadisia kilichokutokea au tumuache kwanza![]()



Polen Sana the blues kwa msiba mtakao kutana nao hapo jumamosi![]()


ngoja uoooneSio MUngu.Nikimanisha hayuko sahihi Kwa Kila kituu.Licha ya umahiri wake alio nao kwenye soka.Kwani nani kasema Mungu!
Ila unamjua kuwa yeye ni nani
Spurs tarehe 12 na city 15 just use logicBado ujajibu swali Kante na Silva watakuwepo game against city
Tunamzungumzia mpasha habari wa michezo anayeongoza kwa kutoa taarifa za ndani ya klabu, zaidi 95% ya tetesi zake zinakuja kuwa kweli, kwa nini tusimtrust. na hoja yangu ilibase kwenye statu quo yake hiyoSio MUngu.Nikimanisha hayuko sahihi Kwa Kila kituu.Licha ya umahiri wake alio nao kwenye soka.