Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

images (1).jpeg

Kante anataka kulia.
 
Mimi naona tatizo ni kocha kwani wachezaji hawa hawa si ndiyo wamechukua uefa? Na sasa hivi kaongezewa Lukaku na Saul.

Na yeye ndiye alituhakikishia hii timu itakua inaogopwa.

Mimi naona kocha hatufai.
Wanachelewa kufanya maamuzi mwishoe sosha apate team
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom