Sisi hatujasajili badoToka tuanze kufukuza na kisajili tumeshanyanyua ndoo za wanaume mbili. Uefa champions league.
Wewe umenyanyua nn?:
Sisi hatujasajili badoToka tuanze kufukuza na kisajili tumeshanyanyua ndoo za wanaume mbili. Uefa champions league.
Wewe umenyanyua nn?:
Sasa nini kinawaleta humu ndani kama hamjasajili?Sisi hatujasajili bado
Hili si jumba bovu kila mpita njia anakuja kukojoleaSasa nini kinawaleta humu ndani kama hamjasajili?
Mbona wewe hukukojoa?Hili si jumba bovu kila mpita njia anakuja kukojolea
Team yako tafadhaliMmekata moto
Manchester unitedTeam yako tafadhali
Mlituamisha RR ni mwalimu wa TT mbona Man U imekuwa ya Hovyo kuliko hata ya Ole?Manchester united
Wana raha gani mpaka walale hadi muda huu, amkeni kenge nyie kabla Dany Welbeck hajawamwagia ndoo ya maji.



wazee wa sare sare mauaLazima waseme wanakikosi kipana au wana takataka nyingiWazee wa kikosi kipana sasa hivi wamekuwa ni wazee wa utumbo mpana.
Utasema yeye mechi zake anashindaOngea tena , au jana pia mlikuwa pungufu?
Lile pia mlilopigiwa na madogo ulilionaje?
Sent using Jamii Forums mobile app


Mi namaanisha huu uzi ni jumba bovu. Kumbe wewe unamaanisha timu ndiyo jumba bovu? Ila nishalikojolea, tatu. Hadi kocha akafukuzwaMbona wewe hukukojoa?
Wanachelewa kufanya maamuzi mwishoe sosha apate teamMimi naona tatizo ni kocha kwani wachezaji hawa hawa si ndiyo wamechukua uefa? Na sasa hivi kaongezewa Lukaku na Saul.
Na yeye ndiye alituhakikishia hii timu itakua inaogopwa.
Mimi naona kocha hatufai.
Hata sisi tulishakojolea 6 jumba la arsenyetoMi namaanisha huu uzi ni jumba bovu. Kumbe wewe unamaanisha timu ndiyo jumba bovu? Ila nishalikojolea, tatu. Hadi kocha akafukuzwa
Hapo anaweza shinda mechi moja tu
Sosha anarudi man u soon. Maana RR hana maajabu.Wanachelewa kufanya maamuzi mwishoe sosha apate team
anaenda kupambana na akina numbisa na wengine wa jukwaa la wasanii![]()



kina cocastic huko kwenye chit chatUlimwambia na tuchelewe au uliishia kusema tuHuko nyuma nilishawahi kusema kumtegemea ODOI, CHEEK, BARKLEY ni hali ya hatare.
Nilisema hawa ni wachezaji wa Crystal palace.
Hawa ukiwapeleka city wanapigwa risasi getini.
Bakora tatu za kwendaHata sisi tulishakojolea 6 jumba la arsenyeto