Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Maajabu yake utayaona siku ya sherehe sahivi endelea kushona sare kwanzaSosha anarudi man u soon. Maana RR hana maajabu.
Maajabu yake utayaona siku ya sherehe sahivi endelea kushona sare kwanzaSosha anarudi man u soon. Maana RR hana maajabu.
Kwanza upo nafasi ya ngapi?Bakora tatu za kwenda
Eti eh?Maajabu yake utayaona siku ya sherehe sahivi endelea kushona sare kwanza
Ya 4. Natafuta nafasi ya 3.Kwanza upo nafasi ya ngapi?
Naona umekuja kujipooza humu maana man city siyo mchezo.
Unaitafutia kwa city?Ya 4. Natafuta nafasi ya 3.
Yea, wewe utakua wa tanoUnaitafutia kwa city?
Halafu nafasi ya 3 nenda kapambane na Liver huko.
Mimi sipo kwenye hiyo position tena.
ndio anachokiweza shabiki lia lia
Mi namaanisha huu uzi ni jumba bovu. Kumbe wewe unamaanisha timu ndiyo jumba bovu? Ila nishalikojolea, tatu. Hadi kocha akafukuzwa
Na wakasema kikosi ni kipana na yeyote anafunga.mkuu yule tapeli wao ameamua kuwaambia ukweli bana maana hana tena cha kudanganya...kwamba kombe wasahau sijui kama wameiona hii....alafu anasingizia majeruhi na covid huku timu nzima imekata moto kila mwanasoka anaona waziwazi...ama kweli tucheli ni tapeli asee!, anajisahaulisha kila timu ina crisis ya covid in the same league!
View attachment 2062903
mkuu katika shabiki wa chelsea msema kweli ni wewe na Bwana Lembu tu humu ndani...uliwaambia humu wenzako kuwa hii timu yenu kwasasa bila kupewa mapenati haitoboi wakakubishia wakasema timu ipo vizuri tatizo ni umaliziaji tu pale mbele na lembu akawaambia timu haileweki inacheza backpasses tu bado wakabisha..."ONA SASA HADI KOCHA WENU ANALILIA PENALTY HADHARANI"...dah! polen asee.Joghnho ana madhaifu mengi sana.
Tangu aondoke yule Emenalo tumekuwa tunafanya sajili za ovyo ovyo tuu
MKUU ULIWAAMBIA HUMU KUWA TIMU INACHEZA HOVYO INAPIGA BACK PASSES TU WAKAKUONA MCHAWI HUMU SASA....WENZAKO WAJE WAONE TAKWIMU ZENU ZA JANA NA WAKUOMBE MSAMAHA HARAKA SANA KWA UPOFU WAO MAANA MLIZIDIWA KILA KITU NA BRIGHTON TENA MKIWA BRIDGE MLICHOWEZA KUONGOZA NYIE NI KADI ZA NJANO, OFFSIDE, PIA KIPA WENU KASAVE SANA KULIKO WA BRIGHTON NA KUWACHEZEA FAULO NYINGI BRIGHTON!Pulisic naye ni injury prone
Kante muda wowote injury
Bado tunapambana na Covid-19
Mola tusaidie, hatuja wachezaji waliobaki
SIJUI KIMEPANUKA WAPI ICHO KIKOSI CHAO...MAANA KAMA NI ICHI KILICHOTOA SULUHU NA BRIGHTON WAMETAPELIWA NA TUCHELEWE!Na wakasema kikosi ni kipana na yeyote anafunga.
Arsenal itakuwa mkiani kama mimi nikiwa wa tanoYea, wewe utakua wa tano
Ile ligi nyepesi. Jamaa anawapiga sana tafu.Lyon have rejected Chelsea's approach to recall Emerson Palmieri from his season long-loan spell in France
Haijawahi kutokea Arsenal kua mkiani. Ila chelsea kushuka daraja au kua wa nane imeshatokea, nafikiri mara ya mwisho ni 2016 mlikua wa nane au wa sabaArsenal itakuwa mkiani kama mimi nikiwa wa tano











Man city wana case gani ya covid for the past one month?mkuu yule tapeli wao ameamua kuwaambia ukweli bana maana hana tena cha kudanganya...kwamba kombe wasahau sijui kama wameiona hii....alafu anasingizia majeruhi na covid huku timu nzima imekata moto kila mwanasoka anaona waziwazi...ama kweli tucheli ni tapeli asee!, anajisahaulisha kila timu ina crisis ya covid in the same league!
View attachment 2062903






