42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
We umeshindwa nn kubahatisha CL?Daaa ...
Baada ya kubahatisha CL ....
Wakajichora na tatoo kabisa kuwa wanaenda kuchukua epl
Kudadekii ,mnafikili ni rahisi kupanda mlima wa game 38![]()
We umeshindwa nn kubahatisha CL?Daaa ...
Baada ya kubahatisha CL ....
Wakajichora na tatoo kabisa kuwa wanaenda kuchukua epl
Kudadekii ,mnafikili ni rahisi kupanda mlima wa game 38![]()
Futeni hizo tatoo haraka Sana kabal Sheria haijachikua mkondo wakeWe umeshindwa nn kubahatisha CL?





Sheria gani wewe. af tar 25 jiandae kupasuliwa na the bluesFuteni hizo tatoo haraka Sana kabal Sheria haijachikua mkondo wake![]()
NADHANI ISHU SIO COVID TU BALI ATA MAJERUHI AMELALAMIKIA HILO PIA LAKINI SIO KWAMBA LIGI NZIMA MAJERUH MNAYO NYIE TU IVYO HICHO SIO KIGEZO!...UKWELI NI KUWA WACHEZAJI WENU WAMECHOKA WANA FATIGUE YAKUTOSHA MAANA BENCHI LENU BOVU WANAOINGIA SUB AFADHALI ALIYETOKA NA KILA MECHI NI KIKOSI ICHOICHO TU, KIBAYA ZAIDI MORALE NA CONFIDENCE YENU IMESHASHUKA.....MTAKOMA!!!Man city wana case gani ya covid for the past one month?
Arsenal pia the same.
Nyinyi ndio mnaangalia mpira livescore.
Acha kuropoka usichokijuwa james amechora wapi tatoo ya epl ile ni ya uefa mliyopasuliwa kule estadio dragao mpaka ukakimbia kusikojulikana lile sio kombe ambalo kila timu inajibebea tuMwambieni reec James afute ole tatoo ya epl mguuni haraka Sana![]()
Kombe la kifala ambalo hata Nottingham forest ambayo mpaka Sasa imeshashuka daraja haijulikani kwenye anga za mpira mpaka sasa kashachukua CL 2Acha kuropoka usichokijuwa james amechora wapi tatoo ya epl ile ni ya uefa mliyopasuliwa kule estadio dragao mpaka ukakimbia kusikojulikana lile sio kombe ambalo kila timu inajibebea tu







acha ufala weweAaaah! Bhana kwani tulikubalianaje? Si tulikubaliana kuwa Tuchel anatengeneza tim itakayo ogopwa na kila tim itakayo kutana nayo?EPL jamani ngumu, tubaki tu kwenye UCL, FA na Karabao





Acha kuropoka usichokijuwa james amechora wapi tatoo ya epl ile ni ya uefa mliyopasuliwa kule estadio dragao mpaka ukakimbia kusikojulikana lile sio kombe ambalo kila timu inajibebea tu










hivi kumbe mwamba alikimbia baada ya kupakuliwa?Jitoeni basi kama ni kombe la kifaraKombe la kifala ambalo hata Nottingham forest ambayo mpaka Sasa imeshashuka daraja haijulikani kwenye anga za mpira mpaka sasa kashachukua CL 2
CL ambayo hata sulzburg anaweza chukuaacha ufala wewe
Alikimbia kusikojulikana huyo leo anakuja kuongea ujinga hapahivi kumbe mwamba alikimbia baada ya kupakuliwa?
Msipo angalia hilo kombe hamtachukua mpaka mnaingia kaburini.Kombe la kifala ambalo hata Nottingham forest ambayo mpaka Sasa imeshashuka daraja haijulikani kwenye anga za mpira mpaka sasa kashachukua CL 2
CL ambayo hata sulzburg anaweza chukuaacha ufala wewe
We real don't care as long as we want to convert PL into League 1Msipo angalia hilo kombe hamtachukua mpaka mnaingia kaburini.




Mkuu hawa ni sizitaki mbichi hizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aaaah! Bhana kwani tulikubalianaje? Si tulikubaliana kuwa Tuchel anatengeneza tim itakayo ogopwa na kila tim itakayo kutana nayo?![]()
Hakuna mashabiki wanao furahisha kama chelsea.Mkuu hawa ni sizitaki mbichi hizi![]()
Kombe la uefa pale EPL wanaume walioweza kuneba ni watano tu.Kombe la kifala ambalo hata Nottingham forest ambayo mpaka Sasa imeshashuka daraja haijulikani kwenye anga za mpira mpaka sasa kashachukua CL 2
CL ambayo hata sulzburg anaweza chukuaacha ufala wewe
Unataka turudi kwenye back 4, beki zetu kwenye back 4 tutazikataa saizi,Sawa timu imejaa injuries lakini ukiwa kama kocha kuna mda inabidi ubadilishe mfumo kutokana na wachezaji aliokuwa nao sio kila mechi mfumo mmoja huwezi kupata matokeo kwa namna hiyo
Subiri j2 ndio utajua hujui. Tunapiga kwenye mshono.Aaaah! Bhana kwani tulikubalianaje? Si tulikubaliana kuwa Tuchel anatengeneza tim itakayo ogopwa na kila tim itakayo kutana nayo?![]()