Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Daaa ...

Baada ya kubahatisha CL ....

Wakajichora na tatoo kabisa kuwa wanaenda kuchukua epl [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kudadekii ,mnafikili ni rahisi kupanda mlima wa game 38[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We umeshindwa nn kubahatisha CL?
 
WELBECK AMENAMBIA NIWAFIKISHIE SALAMU ZAKE HUMU NDANI....HIVI HAWA JAMAA WANAJIITA "OLLACHUGA OC NA PAPAA GX" MBONA HAWAONEKANI WAMEJIFUNGIA CHUMBA GANI HUMU NDANI???

62603de5-46d4-4fad-be25-d2e61f683b0a.jpg
 
Man city wana case gani ya covid for the past one month?

Arsenal pia the same.


Nyinyi ndio mnaangalia mpira livescore.
NADHANI ISHU SIO COVID TU BALI ATA MAJERUHI AMELALAMIKIA HILO PIA LAKINI SIO KWAMBA LIGI NZIMA MAJERUH MNAYO NYIE TU IVYO HICHO SIO KIGEZO!...UKWELI NI KUWA WACHEZAJI WENU WAMECHOKA WANA FATIGUE YAKUTOSHA MAANA BENCHI LENU BOVU WANAOINGIA SUB AFADHALI ALIYETOKA NA KILA MECHI NI KIKOSI ICHOICHO TU, KIBAYA ZAIDI MORALE NA CONFIDENCE YENU IMESHASHUKA.....MTAKOMA!!!
 
EPL jamani ngumu, tubaki tu kwenye UCL, FA na Karabao
 
Mwambieni reec James afute ole tatoo ya epl mguuni haraka Sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kuropoka usichokijuwa james amechora wapi tatoo ya epl ile ni ya uefa mliyopasuliwa kule estadio dragao mpaka ukakimbia kusikojulikana lile sio kombe ambalo kila timu inajibebea tu
 
Acha kuropoka usichokijuwa james amechora wapi tatoo ya epl ile ni ya uefa mliyopasuliwa kule estadio dragao mpaka ukakimbia kusikojulikana lile sio kombe ambalo kila timu inajibebea tu
Kombe la kifala ambalo hata Nottingham forest ambayo mpaka Sasa imeshashuka daraja haijulikani kwenye anga za mpira mpaka sasa kashachukua CL 2[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


CL ambayo hata sulzburg anaweza chukua [emoji23][emoji23][emoji23]acha ufala wewe
 
EPL jamani ngumu, tubaki tu kwenye UCL, FA na Karabao
Aaaah! Bhana kwani tulikubalianaje? Si tulikubaliana kuwa Tuchel anatengeneza tim itakayo ogopwa na kila tim itakayo kutana nayo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
 
Acha kuropoka usichokijuwa james amechora wapi tatoo ya epl ile ni ya uefa mliyopasuliwa kule estadio dragao mpaka ukakimbia kusikojulikana lile sio kombe ambalo kila timu inajibebea tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi kumbe mwamba alikimbia baada ya kupakuliwa?
 
Kombe la kifala ambalo hata Nottingham forest ambayo mpaka Sasa imeshashuka daraja haijulikani kwenye anga za mpira mpaka sasa kashachukua CL 2[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


CL ambayo hata sulzburg anaweza chukua [emoji23][emoji23][emoji23]acha ufala wewe
Jitoeni basi kama ni kombe la kifara
 
Kombe la kifala ambalo hata Nottingham forest ambayo mpaka Sasa imeshashuka daraja haijulikani kwenye anga za mpira mpaka sasa kashachukua CL 2[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


CL ambayo hata sulzburg anaweza chukua [emoji23][emoji23][emoji23]acha ufala wewe
Msipo angalia hilo kombe hamtachukua mpaka mnaingia kaburini.
 
Aaaah! Bhana kwani tulikubalianaje? Si tulikubaliana kuwa Tuchel anatengeneza tim itakayo ogopwa na kila tim itakayo kutana nayo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
Mkuu hawa ni sizitaki mbichi hizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mkuu hawa ni sizitaki mbichi hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna mashabiki wanao furahisha kama chelsea.
 
Kombe la kifala ambalo hata Nottingham forest ambayo mpaka Sasa imeshashuka daraja haijulikani kwenye anga za mpira mpaka sasa kashachukua CL 2[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


CL ambayo hata sulzburg anaweza chukua [emoji23][emoji23][emoji23]acha ufala wewe
Kombe la uefa pale EPL wanaume walioweza kuneba ni watano tu.

Liver
Man u
Chelsea
Nottingham
Aston Villa.

Timu yako umeiona hapo?

Kama haipo kaa kwa kutulia.
 
Sawa timu imejaa injuries lakini ukiwa kama kocha kuna mda inabidi ubadilishe mfumo kutokana na wachezaji aliokuwa nao sio kila mechi mfumo mmoja huwezi kupata matokeo kwa namna hiyo
Unataka turudi kwenye back 4, beki zetu kwenye back 4 tutazikataa saizi,

Huwezi badilisha mfumo huku ukiwa mfumo unaotumia haujawa na matatizo, mara nyingi makocha huwa wanabadilisha pattern ya uchezaj na si mfumo, angalia city ya guardiola mfumo wake ni ule ule ila kinachobadilika ni pattern ya uchezaj wa tim.

Hata leo tukirudi kwenye back 4, je unahisi alonso na azplicueta watatupa kile wakina robertson/taa,cancelo,walker wanachowapa city/liverpool

Angalia wakat wote wakina chilwel na jamess wanacheza pamoja na wakat huu james na alonso wanavyocheza unaona kabisa upande wa alonso hakuna madhara yeyote n tim pinzan zinahakikisha james hana madhara wakat chilwel yupo ilikuwa ngumu coz ya pace aliyonayo chilwel na tulikuwa na overload upande wake na kucreate nafasi upande wa kulia ila now hicho kitu atupo,

Alonso /azp hawa wasasa sio wale wakat wa conte.
 
Aaaah! Bhana kwani tulikubalianaje? Si tulikubaliana kuwa Tuchel anatengeneza tim itakayo ogopwa na kila tim itakayo kutana nayo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
Subiri j2 ndio utajua hujui. Tunapiga kwenye mshono.
 
Karibu John Terry nyumbani
Replacement ya TT akiboronga
1640879242036.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom