Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naona Timu imekuwa ya kuunga wachezaji kucheza kwenye position ambazo hawana uwezo nao.
Kocha anaogopa nn kubadili mfumo ili kuendana na hali ya Injury +Covid inayopitia Timu...😠
Huyo Joginho Sasa apumzishwe naona Network inayumba, na huyo Odoi usimtegemee akuletee ubingwa kwa ujinga huu anaoufanya, msimu ukiisha peleka kwa mkopo msimu mzima.
 
alikamwe-20211230-0001.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Naona Timu imekuwa ya kuunga wachezaji kucheza kwenye position ambazo hawana uwezo nao.
Kocha anaogopa nn kubadili mfumo ili kuendana na hali ya Injury +Covid inayopitia Timu...
Huyo Joginho Sasa apumzishwe naona Network inayumba, na huyo Odoi usimtegemee akuletee ubingwa kwa ujinga huu anaoufanya, msimu ukiisha peleka kwa mkopo msimu mzima.
Achezeshe mfumo gani?

Hebu weka maoni hapa.
 
Kocha atafute mbadala wa Joginho, mwenye Kasi,nguvu na akili ya ubunifu.
Huyu Joginho wa sasa ni homa ya vipindi tuu, badala kumkimbiza adui akipita eneo lake anajiugeza kocha kwa kutoa maelezo kwa wengine huku yeye akikabia macho.
Tukishinda na Joginho yupo ndani huwa hamuongei.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom