Afadhali leo mmeanza kuuona ubovu wa kikosi chenu ambacho mlikuwa mnadhani kinaogopekaPulisic, Odoi, Ziyech, Cheek, Barkey, Alonso waondolewe kikosini wanatupotezea muda tuu. Hawa wachezaji ukiwapeleka pale city hawapati nafasi kikosini hata ikifanyika rotation.
City anafanya vizuri kwa sababu ana kikosi kipana chenye wachezaji wenye uwezo mkubwa unaokaribiana.
Sisi hapa 1st eleven yenyewe matakataka mengi huko kwenye benchi ndio hamna kitu.
Tuache kusifia ujinga the BLUES wachezaji wengi ni wa kawaida sana.
Huyo MOUNT tunayemsifia ni wa kawaida sana sioni anachofanya uwanjani zaidi ya kukimbia kimbia tuu uwanjani.
Sawa majeruhi wapo lakini pia wachezaji wetu wana uwezo wa kawaida sana.
.aSahau ubingwa, lakini pia uwezo wa nyinyi kumfumua Liverpool haupo.Tuko nafasi ya pili na tunamfumua Liverpunga match ijayo. Haya unasemaje?
Nayo mlichukua kwa kiwango cha tundu la sindano(kubahatisha) lakini kwa uhalisia milizidiwa kwa kila kitu.Mimi naona tatizo ni kocha kwani wachezaji hawa hawa si ndiyo wamechukua uefa? Na sasa hivi kaongezewa Lukaku na Saul.
Na yeye ndiye alituhakikishia hii timu itakua inaogopwa.
Mimi naona kocha hatufai.
wametoka kuchezea kipigo ujueHao kunguni hawatoamini macho yao.
niko na nyie bega kwa bega, usije kukimbia jukwaa hapa, unaenda kumfunga liva na hawa watoto kina mountTuko nafasi ya pili na tunamfumua Liverpunga match ijayo. Haya unasemaje?
Kaa hapo tulia.Sahau ubingwa, lakini pia uwezo wa nyinyi kumfumua Liverpool haupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
kocha ni mzuri sana, kuchukua uefa na akina rudiga na silva naa christiansen ni ishara kuwa aliweza kukamua ubora wa juu zaidi kutoka kwa wachezaji avarage, mpeni wachezaji, kwa sasa hakuna pa kujificha timu zinahitaji vikosi vipana ambavyo vimesheheni wazee wa kazi wanaojua wanachokifanya uwanjani sio kina mount wana kariba ya uchoyo utadhani wanataka balon dorMimi naona tatizo ni kocha kwani wachezaji hawa hawa si ndiyo wamechukua uefa? Na sasa hivi kaongezewa Lukaku na Saul.
Na yeye ndiye alituhakikishia hii timu itakua inaogopwa.
Mimi naona kocha hatufai.
mdau mdau, punguza jazba nyie si ndio mlisema mnachukua kila kombe mnaloshiriki msimu huuTuache kusifia ujinga the BLUES wachezaji wengi ni wa kawaida sana.
Huyo MOUNT tunayemsifia ni wa kawaida sana sioni anachofanya uwanjani zaidi ya kukimbia kimbia tuu uwanjani.
Sawa majeruhi wapo lakini pia wachezaji wetu wana uwezo wa kawaida sana.
Kilichobaki ni kumsindikiza city, ubingwa msimu huu tusahau. Tujipange kwa msimu ujao.









ehheeeeeeee Sawaaaaaa




kwenye ratiba hio mechi 5 anafungwa halafu moja anadraw pamoja na kuongeza majeruhi wa kutosha kwenye kikosi kipana.hapa kwa lazima binti aende kifo cha mende
Kaa kwa KUTULIA...MUDA NI MWALIM MZURITuko nafasi ya pili na tunamfumua Liverpunga match ijayo. Haya unasemaje?
Na injury tulizonazo sasa + covid, tumeisha, mwanzo mwa ligi tulikuwa na fixture kama hii ila hatukiiwazia sana, kwa sasa hatuko sawa
Ulitegemea afanyaje, wakat wachezaj wenyewe kila siku wanaumia,Tuchel amesababisha kwa kiasi kikubwa hii mechi tutoke suluhu, Pulisic toka lini akacheza ile nafasi. Huyu Odoi apigwe benchi akili imkae sawa
AhahahaaaNyie madanga ya London bdo mmelala mna Raha gani nimemuona mtu Kama tuchelewe anakatisha huku njombe ameshika mswaki
Shida sio mfumo, shida ni kukutwa na majeruhi +covid, sidhan kama kunatim ambayo imekutwa na majeruh mengi+ covid kama sisi,TT anatakiwa kubadilika sio kulazimisha mfumo mmoja kila mechi