Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

kocha ni mzuri sana, kuchukua uefa na akina rudiga na silva naa christiansen ni ishara kuwa aliweza kukamua ubora wa juu zaidi kutoka kwa wachezaji avarage, mpeni wachezaji, kwa sasa hakuna pa kujificha timu zinahitaji vikosi vipana ambavyo vimesheheni wazee wa kazi wanaojua wanachokifanya uwanjani sio kina mount wana kariba ya uchoyo utadhani wanataka balon dor
Somehow umejitahidi kuwa Honest
 
Kwanza hii timu yetu anashinda yeyote hata kama wachezaji 13 hawapo fit waliobaki wataleta matokeo
 
Mashine Ngolo Kante umesikia imekufa?

Kai Harvetz hizo ndio match zake.

Sasa wewe sema Chelsea mbovu tar 2 usije sema hukuambiwa.
kai yuko nje kwa covid, na kale ka mwili kama njiwa atachukua muda sana ku recover
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom