lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Wivu mbele kwa mbele, katupa UCL kombe lenye heshima duniani. Sasa hivi mtaani ukijulikana Chelsea unaheshimika sio kama Arsenal na Manure, wala majani nyieHio quickly as possible ni miaka mingapi?
Tuchel ni kifupi, kirefu chake ni Tuchelewe.
Hapa ni mwendo wa draw mpaka Tuchelewe.
Naona wazee wa kikosi kipana sasa hivi mmekua wazee wa utumbo mpaka![]()

