Kuifananisha kwenye nini?Mmmhh ndo kusema akili zimewatoka kiasi hiki, hivi Chelsea ni ya kufananisha na Man City kweli? Potezeni na game ijayo au mpate draw muone kama ubingwa mtauchukua kama city.
Tafuta mmoja umchape makofi.Kabisa mapumbavu haya....View attachment 2050780
Wenye akili huko Duniani wana muonea huruma tuchel kutokana na kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa,halafu kuna mlevi anakuambia tuchel ameishiwa mbinuHawezi kukujibu maana amekariri
• Chelsea 23 shots vs Everton
• Chelsea 25 shots vs Burnley
• Chelsea 24 shots vs Man United
Sasa hizo shots zilipigwaje kama pass wanapigiana mabeki?
Tatizo ni moja tu. Forward zetu hazipo clinical. Na hili litasolviwa with time hakuna haja ya wholesale changes
Wenye akili huko Duniani wanaiona chelsea kama team iliyokumbwa na wagonjwa,wewe unaiona kama imeishiwa mbinu,Anyway hata uwezo wako ndivyo ulivyoAnakuja tapeli anakuambia tunajenga timu itakayoogopwa dunia nzima, wiki mbili hazijaisha tangu akuambie hivyo unapigwa tano na timu inayoshuka daraja.
Hata haujiulizi kwakua hauna akili hiyo. Wewe ni mjinga. Kwa ujinga huo huo unabeba hoja hiyo hiyo kuja kutuambia watu eti 'Amesema tutakua tunaogopwa dunia nzima'
Pumbavu mkubwa
Hii ni kutoka kwa wapuuzi wenye kikosi kipanaWenye akili huko Duniani wanaiona chelsea kama team iliyokumbwa na wagonjwa,wewe unaiona kama imeishiwa mbinu,Anyway hata uwezo wako ndivyo ulivyo
Majinga sana haya mkuu,Tafuta mmoja umchape makofi.
Mambo yote yatasahaulika lakini sio maneno aisee "NDOMAANA WAHENGA WANAKWAMBIA CHUNGA KAULI ULIMI ULIPONZA KICHWA".....sasa hayo maneno ya Tuchel kutengeneza timu ya kuogopwa na hakuna timu itakayotaka kucheza nao YALISIKIKA NA WATU WAKAYAHIFADHI...na kama unaweza kutengeneza timu ya aina iyo inabidi abebe ubingwa maana hatakiwi kupoteza game....YEYE ALIYAONGEA AKIMFURAHISHA MWAJIRI WAKE BWANA. ROMAN bila kujua ile ni EPL Na ina makocha wanaprofile kubwa zaidi yake kina Klopp na Pep na hawavimbi...maana kimafanikio ya titles Huyo TUCHEL HAINGII ATA ROBO YA PEP-GUARDIOLA(maana jamaa yupo kwenye top 5-list ya makocha bora wa muda wote Duniani), sasa ngoja wakose huo ubingwa wa EPL ili tumuulize mbona timu yenyewe hatujaiona bwana Tuche...Na hiyo kauli itawarudia x1000times.Anakuja tapeli anakuambia tunajenga timu itakayoogopwa dunia nzima, wiki mbili hazijaisha tangu akuambie hivyo unapigwa tano na timu inayoshuka daraja.
Hata haujiulizi kwakua hauna akili hiyo. Wewe ni mjinga. Kwa ujinga huo huo unabeba hoja hiyo hiyo kuja kutuambia watu eti 'Amesema tutakua tunaogopwa dunia nzima'
Pumbavu mkubwa
Man city na Wolves wanakusubiri maana umekuwa na mdomo kama ChuchungeMmepanuka wapi? Nyuma au mbele?
We si ushinde UCL upate hoja ya kuongea.Hoja za kipuuzi.
Wakiona upuuzi wao hauna maana tena wanakimbilia hoja ya
'Tumeshinda CL'
Ngedere wakubwa.
Oyaaaa umepewa talaka nini leo?Anakuja tapeli anakuambia tunajenga timu itakayoogopwa dunia nzima, wiki mbili hazijaisha tangu akuambie hivyo unapigwa tano na timu inayoshuka daraja.
Hata haujiulizi kwakua hauna akili hiyo. Wewe ni mjinga. Kwa ujinga huo huo unabeba hoja hiyo hiyo kuja kutuambia watu eti 'Amesema tutakua tunaogopwa dunia nzima'
Pumbavu mkubwa
Now I know kwanini mmejazana humu kama Kunguni.Kabisa mapumbavu haya....View attachment 2050780




Acha ufala Kenge wewe. Yes alitengeneza timu inayotisha ndio maana akabeba UCL.Mambo yote yatasahaulika lakini sio maneno aisee "NDOMAANA WAHENGA WANAKWAMBIA CHUNGA KAULI ULIMI ULIPONZA KICHWA".....sasa hayo maneno ya Tuchel kutengeneza timu ya kuogopwa na hakuna timu itakayotaka kucheza nao YALISIKIKA NA WATU WAKAYAHIFADHI...na kama unaweza kutengeneza timu ya aina iyo inabidi abebe ubingwa maana hatakiwi kupoteza game....YEYE ALIYAONGEA AKIMFURAHISHA MWAJIRI WAKE BWANA. ROMAN bila kujua ile ni EPL Na ina makocha wanaprofile kubwa zaidi yake kina Klopp na Pep na hawavimbi...maana kimafanikio ya titles Huyo TUCHEL HAINGII ATA ROBO YA PEP-GUARDIOLA(maana jamaa yupo kwenye top 5-list ya makocha bora wa muda wote Duniani), sasa ngoja wakose huo ubingwa wa EPL ili tumuulize mbona timu yenyewe hatujaiona bwana Tuche...Na hiyo kauli itawarudia x1000times.
View attachment 2050909
Haya watuambie HUYO MZEE WAKUJENGA TIMU YA KUOGOPWA...Yupo wapi hapo???....NA KAMA HAYUPO WASEME JE ANAFIKIA ATA ROBO YA HIZO ACHIEVEMENTS NA KAMA HAFIKII...WATUAMBIE KAMA PEP AMESHINDWA KUTENGENEZA HIYO TEAM ALIYOISEMA YEYE, JE HUO UVIMBE WAKUSEMA HIVYO TUCHEL AMEUTOLEA WAPI?
View attachment 2050887
View attachment 2050892
View attachment 2050894