Mambo yote yatasahaulika lakini sio maneno aisee "NDOMAANA WAHENGA WANAKWAMBIA CHUNGA KAULI ULIMI ULIPONZA KICHWA".....sasa hayo maneno ya Tuchel kutengeneza timu ya kuogopwa na hakuna timu itakayotaka kucheza nao YALISIKIKA NA WATU WAKAYAHIFADHI...na kama unaweza kutengeneza timu ya aina iyo inabidi abebe ubingwa maana hatakiwi kupoteza game....YEYE ALIYAONGEA AKIMFURAHISHA MWAJIRI WAKE BWANA. ROMAN bila kujua ile ni EPL Na ina makocha wanaprofile kubwa zaidi yake kina Klopp na Pep na hawavimbi...maana kimafanikio ya titles Huyo TUCHEL HAINGII ATA ROBO YA PEP-GUARDIOLA(maana jamaa yupo kwenye top 5-list ya makocha bora wa muda wote Duniani), sasa ngoja wakose huo ubingwa wa EPL ili tumuulize mbona timu yenyewe hatujaiona bwana Tuche...Na hiyo kauli itawarudia x1000times.
View attachment 2050909
Haya watuambie HUYO MZEE WAKUJENGA TIMU YA KUOGOPWA...Yupo wapi hapo???....NA KAMA HAYUPO WASEME JE ANAFIKIA ATA ROBO YA HIZO ACHIEVEMENTS NA KAMA HAFIKII...WATUAMBIE KAMA PEP AMESHINDWA KUTENGENEZA HIYO TEAM ALIYOISEMA YEYE, JE HUO UVIMBE WAKUSEMA HIVYO TUCHEL AMEUTOLEA WAPI?
View attachment 2050887
View attachment 2050892
View attachment 2050894