Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

home & away
IMG-20211223-WA0004.jpg


Sent using motorola 78
 
Na 2003 ndiyo mwaka chelsea inaanzishwa.

Coincidence?
Hesabu 2003 hadi sasa miaka mingapi

2000's ndio mapinduzi ya soka la uwekezaji lilipoanza

Nyie mlitupwa nje ya ulingo.

Hamjawahi beba EPL since 2003

Hajawahi beba UEFA maisha mwenu

Man shity itabeba UEFA kabla coz hampo serious na uwekezaji wenu

Nyie ni vibonde tu.club masikini

Palipo na umakini utasika kelele nyiingi

Sasa mmezihamishia huku
 
Hesabu 2003 hadi sasa miaka mingapi

2000's ndio mapinduzi ya soka la uwekezaji lilipoanza

Nyie mlitupwa nje ya ulingo.

Hamjawahi beba EPL since 2003

Hajawahi beba UEFA maisha mwenu

Man shity itabeba UEFA kabla coz hampo serious na uwekezaji wenu

Nyie ni vibonde tu.club masikini

Palipo na umakini utasika kelele nyiingi

Sasa mmezihamishia huku
Actually umekubaliana na mimi kwamba huo mwaka ndiyo hivi vinabo vilikubaliana kucheza mpira.

Upo sahihi kwamba hatujafanya soka la uwekezaji badala yake tukatumia self sustaining model, timu nyingine iliyotumia hii model na kugundua kumbe haifai ni Liva.

Hii model imetusaidia tusiingie madeni kama nyinyi na Barca, tuwe na uwanja wetu, hivi chelsea mna uwanja? Pia tuwe miongoni mwa klabu inayozalisha faida.

Hivyo haupo sahihi kwamba Arsenal na maskini.

Haupo sahihi kwamba sisi ni vibonde. Tuna trophies kuzidi klabu zote za London.

Haupo sahihi kwamba tuna kelele. Wenye kelele mpo.

Uko 50/ 50 kwamba Man six watatuwahi kubeba CL.

Anyway, self sustaining model inaanza kupewa mgongo hapa Arsenal.

Observe.
 
Imagine chelsea imeanzishwa 2003 na ina UCL mbili.

Cry harder.
Anything is possible mbele ya mmiliki anayefocus na mafanikio ya klabu.

Leicester imepanda imekaa msimu imechukua kombe, miaka kadhaa mbele wana uwanja wao nyinyi mbona hamna uwanja? Na mmeanzishwa 2003.
 
Anything is possible mbele ya mmiliki anayefocus na mafanikio ya klabu.

Leicester imepanda imekaa msimu imechukua kombe, miaka kadhaa mbele wana uwanja wao nyinyi mbona hamna uwanja? Na mmeanzishwa 2003.
Mzee mmekazania Hilo suala la uwanja duh....nyie na uwanja wenu soon mtazidiwa na man city n Newcastle pia ambao hawana uwanja na viwanja wavitumiavyo vinamilikiwa na manispaa
 
Mzee mmekazania Hilo suala la uwanja duh....nyie na uwanja wenu soon mtazidiwa na man city n Newcastle pia ambao hawana uwanja na viwanja wavitumiavyo vinamilikiwa na manispaa
Ndiyo kwanza leo nimeandika kuhusu uwanja.

Nani mwingine amekua akiongelea uwanja?
 
Anything is possible mbele ya mmiliki anayefocus na mafanikio ya klabu.

Leicester imepanda imekaa msimu imechukua kombe, miaka kadhaa mbele wana uwanja wao nyinyi mbona hamna uwanja? Na mmeanzishwa 2003.
Wewe mbuzi tutolee kelele apa hamna timu nyie matakataka itabidi tufanye utaratibu uondoke kabisa humu.

Mbuziiiii pigaaaa iyoooo..

Halafu uyu Ugumu wangu ni tapeli kweli kuwa naye makini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom