Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii mambo ya Tuchel kuweka DM wawili ilishatukaanga game ya City....

At least Kova alitakiwa kuwanza na mmoja kati ya Kante au Chalobah.
 
Tumeanza vizuri dk kama 10 tu zingine 10 hadi sasa tumezidiwa
 
Hadi sasa
  1. Possession wise wolve wako juu yetu
  2. Tencicality wako juu
  3. tactically wako juu
  4. clinically wako juu
Labda TT abadili mbinu baada ya HT otherwise tusitegemee matokeo makubwa leo
 
Hadi sasa
  1. Possession wise wolve wako juu yetu
  2. Tencicality wako juu
  3. tactically wako juu
  4. clinically wako juu
Labda TT abadili mbinu baada ya HT otherwise tusitegemee matokeo makubwa leo
Zaidi ya Kova kuna nani mwingine wa maana hapo?

Sielewi hata kwanini rufaa yetu imekataliwa ya kutocheza hii match.

Imagine hizo ndio sub zote za chelsea.

Tujiandae kwa matokeo yoyote kama mtu aliangalia game ya Wolves vs Liver au Man city vs wolves halafu leo match ikaisha akaanza kutukana atakuwa msenge....

Screenshot_2021-12-19-17-36-23-094_com.mobilefootie.wc2010.jpg
 
Hii mambo ya Tuchel kuweka DM wawili ilishatukaanga game ya City....

At least Kova alitakiwa kuwanza na mmoja kati ya Kante au Chalobah.
Msijali makombe yote yenu msimu huu, ni upepo tu
 
Baada ya Saul kuingia angalau tunakaa na mpira
Ngolo Kante anatubeba
Naona Saul ndie anacheza DM na Kante anakuwa mobile kama kawaida yake
Kova kaingia
Mungu tusaidie
Naona Wolve wamechoka
 
Kova
Zaidi ya Kova kuna nani mwingine wa maana hapo?

Sielewi hata kwanini rufaa yetu imekataliwa ya kutocheza hii match.

Imagine hizo ndio sub zote za chelsea.

Tujiandae kwa matokeo yoyote kama mtu aliangalia game ya Wolves vs Liver au Man city vs wolves halafu leo match ikaisha akaanza kutukana atakuwa msenge....

View attachment 2049983
Kova kaingia, Mungu atusaidie tubebe points 3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom