Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mambo yote yatasahaulika lakini sio maneno aisee "NDOMAANA WAHENGA WANAKWAMBIA CHUNGA KAULI ULIMI ULIPONZA KICHWA".....sasa hayo maneno ya Tuchel kutengeneza timu ya kuogopwa na hakuna timu itakayotaka kucheza nao YALISIKIKA NA WATU WAKAYAHIFADHI...na kama unaweza kutengeneza timu ya aina iyo inabidi abebe ubingwa maana hatakiwi kupoteza game....YEYE ALIYAONGEA AKIMFURAHISHA MWAJIRI WAKE BWANA. ROMAN bila kujua ile ni EPL Na ina makocha wanaprofile kubwa zaidi yake kina Klopp na Pep na hawavimbi...maana kimafanikio ya titles Huyo TUCHEL HAINGII ATA ROBO YA PEP-GUARDIOLA(maana jamaa yupo kwenye top 5-list ya makocha bora wa muda wote Duniani), sasa ngoja wakose huo ubingwa wa EPL ili tumuulize mbona timu yenyewe hatujaiona bwana Tuche...Na hiyo kauli itawarudia x1000times.
View attachment 2050909

Haya watuambie HUYO MZEE WAKUJENGA TIMU YA KUOGOPWA...Yupo wapi hapo???....NA KAMA HAYUPO WASEME JE ANAFIKIA ATA ROBO YA HIZO ACHIEVEMENTS NA KAMA HAFIKII...WATUAMBIE KAMA PEP AMESHINDWA KUTENGENEZA HIYO TEAM ALIYOISEMA YEYE, JE HUO UVIMBE WAKUSEMA HIVYO TUCHEL AMEUTOLEA WAPI?
View attachment 2050887

View attachment 2050892
View attachment 2050894
Hawa wote ukimtoa guardiola wamesgapitwa na wakati kwa sasa
 
Kesho kuna uwezekano wa baadhi ya kikosi chetu kikiwa na wachezaj wa u23 hii ni kutokana na covid na majeruhi tuliyonayo sasa
 
Kesho kuna uwezekano wa baadhi ya kikosi chetu kikiwa na wachezaj wa u23 hii ni kutokana na covid na majeruhi tuliyonayo sasa
Muyamba ndani,
Ruben Loftus-Cheek, Romelu Lukaku, Timo Werner and Callum Hudson-Odoi are all ruled out having tested positive for the virus.

Kante hatacheza
Christensen na Chalobah injury
 
Chelsea still ni best team kwa sasa.
Matokeo ya kipindi hiki ni mpito tu lakini tunafanya vingi katika match tunachokosa na clinical finishing.

Mashabiki wa man u na arsenal ndo wanabwabwaja kuhusu matokeo yetu lakini cha kushangaza tuko juu yao kwenye table msimu huu tumefungwa match 3 tu tena na timu ngumu ambazo ni City, Juve na west ham ambaye kwa msimu kawafunga top 6 karibia wote.

Shabiki ambaye anaruhusiwa kutucheka labda wa man city.

Mdomo uko kwa mashabiki wa man u ambao mziki wanauelewa kwenye match dhidi yetu walipata tabu ile draw wanamshukuru tu Mungu.
MAN U wanafurahi sana draw tunazopata kipindi hiki wakati wao wana miaka zaidi ya minne hawana hata kikombe cha chai.

CHELSEA MSIMU HUU TUNAWANIA VIKOMBE VINGI KULIKO TIMU YOYOTE ULAYA.
HIYO FEBRUARI tunaanzia nusu final club world cup hapo middle East.
EFL bado tupo.
FA bado tupo.
Ligi kuu bado tupo.
UEFA bado tupo.

Msimu huu tayari tuna kikombe kimoja kikubwa sana
UEFA SUPERCUP 2021.

NA TUWAKUMBUSHE TU CHELSEA NDO BINGWA MTETEZI WA LIGI YA MABINGWA ULAYA.

CHELSEA HOME OF CHAMPION
 
Chelsea still ni best team kwa sasa.
Matokeo ya kipindi hiki ni mpito tu lakini tunafanya vingi katika match tunachokosa na clinical finishing.

Mashabiki wa man u na arsenal ndo wanabwabwaja kuhusu matokeo yetu lakini cha kushangaza tuko juu yao kwenye table msimu huu tumefungwa match 3 tu tena na timu ngumu ambazo ni City, Juve na west ham ambaye kwa msimu kawafunga top 6 karibia wote.

Shabiki ambaye anaruhusiwa kutucheka labda wa man city.

Mdomo uko kwa mashabiki wa man u ambao mziki wanauelewa kwenye match dhidi yetu walipata tabu ile draw wanamshukuru tu Mungu.
MAN U wanafurahi sana draw tunazopata kipindi hiki wakati wao wana miaka zaidi ya minne hawana hata kikombe cha chai.

CHELSEA MSIMU HUU TUNAWANIA VIKOMBE VINGI KULIKO TIMU YOYOTE ULAYA.
HIYO FEBRUARI tunaanzia nusu final club world cup hapo middle East.
EFL bado tupo.
FA bado tupo.
Ligi kuu bado tupo.
UEFA bado tupo.

Msimu huu tayari tuna kikombe kimoja kikubwa sana
UEFA SUPERCUP 2021.

NA TUWAKUMBUSHE TU CHELSEA NDO BINGWA MTETEZI WA LIGI YA MABINGWA ULAYA.

CHELSEA HOME OF CHAMPION
Arsenal kaifunga Westham 2 - 0
 
Chelsea still ni best team kwa sasa.
Matokeo ya kipindi hiki ni mpito tu lakini tunafanya vingi katika match tunachokosa na clinical finishing.

Mashabiki wa man u na arsenal ndo wanabwabwaja kuhusu matokeo yetu lakini cha kushangaza tuko juu yao kwenye table msimu huu tumefungwa match 3 tu tena na timu ngumu ambazo ni City, Juve na west ham ambaye kwa msimu kawafunga top 6 karibia wote.

Shabiki ambaye anaruhusiwa kutucheka labda wa man city.

Mdomo uko kwa mashabiki wa man u ambao mziki wanauelewa kwenye match dhidi yetu walipata tabu ile draw wanamshukuru tu Mungu.
MAN U wanafurahi sana draw tunazopata kipindi hiki wakati wao wana miaka zaidi ya minne hawana hata kikombe cha chai.

CHELSEA MSIMU HUU TUNAWANIA VIKOMBE VINGI KULIKO TIMU YOYOTE ULAYA.
HIYO FEBRUARI tunaanzia nusu final club world cup hapo middle East.
EFL bado tupo.
FA bado tupo.
Ligi kuu bado tupo.
UEFA bado tupo.

Msimu huu tayari tuna kikombe kimoja kikubwa sana
UEFA SUPERCUP 2021.

NA TUWAKUMBUSHE TU CHELSEA NDO BINGWA MTETEZI WA LIGI YA MABINGWA ULAYA.

CHELSEA HOME OF CHAMPION
Man U ndio amefungua geti lenu la draw, sasa hivi kenge wa darajani ni mwendo wa kudraw mpaka mtoke kwenye top 4.
 
Wazee wa kikosi kipana, siku hizi wamekua wazee wa utumbo mpana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom