Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Shida ni ile ile hatuko makini kwenye umaliziaji wa chance zetu, tunakosa chance nyingi na za wazi matokeo yake gme inaisha draw
dah!...maajabu ya chelsii hayo yani kwa status za ORACLE mmeshambulia muda wote lakini wenzenu shambulizi moja tu mkalazimishwa suluhu hivihivi au mie nimeelewa vibaya hapo???
50ca0483-25b9-44eb-865a-d7594bb28e2d.jpg
 
na kwa jinsi nilivyoona wale wolves kwenye game za LIVER NA CITY....inabidi mjipange sanaaa game ijayo lasivyo tuwanunulieni reso mapema maan mtalia na kupoteana humu ndani.
FireShot Capture 100 - WOL - CHE - Wolves - Chelsea - Match Summary - www.flashscore.com.png
 
alafu mbona mumekubali mapema hivyo wakuu...NIWAULIZE ETI KWANI NA NYINYI SIO TITLE CONTENDERS AMA NIMEJICHANGANYA WAZEE WA DARAJANI??? 😂😂😂
28f0c707-978f-4db0-95a9-292c875492ed.jpg
 
Kama kuna viumbe sayari nyingine huko juu wanaiangalia chelsea ikicheza halafu wakajua tulikuwa na mpango wa kumpa Joginho Balon d'Or,wangeidharau sana sayari yetu.

#TuchelOut.
 
CHA KUWASISITIZA WANDUGU....MMEANZA VIZUR ILA MSIJE MKAKUBALI KUINGIA HUO MTEGO WA KUGOMBEA NAMBA.4 HAPO MAANA HAO JAMAA HAPO CHINI HAWAWEZI KUWAELEWA KWA WANAVYOITOLEA MACHO...Mhhh!

FireShot Capture 102 - Premier League 2021_2022 live scores, results, Football England - Fla_ ...png
 
Ajax ana UEFA 4 ,league cup 30 ....

Unajua Nini CL hata Lille anachukua ,is not big deal bro ....


Wewe pambana na li timu lako la hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe unazo uefa ngapi?
 
Jana vipi hakukuwa na penalty kwani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
dah!...maajabu ya chelsii hayo yani kwa status za ORACLE mmeshambulia muda wote lakini wenzenu shambulizi moja tu mkalazimishwa suluhu hivihivi au mie nimeelewa vibaya hapo???
View attachment 2047585

Mkuu hao hawana wachezaji wa kuwapa ubingwa.

Timu ni ya kawaida tu hiyo, kocha huyo msimu ujao watamtimua alikuwa anafikiri Epl ni ligi ya timu moja eti timu ziogope kukutana nae.[emoji3].
 
900 for nothing ni ujinga

Zamani attempts zilikuwa nyingi sana langoni hasa mashuti ya mbali wing back na viungo wanfumua mashuti sana

Siku hizi tunacheza kama ile barca ya mwisho tunataka kupenya mpira kwenye box ukutane na mtu

Wahuni washashtukia wanapaki basi

Hii sio sawa

Pigine pass za kutosha ila pigine mashuti golini .

Halafu ni kama wameambiana Chelsea dawa yao kupaki basi .

Mimi Chelsea dia hard fan since Chelsea ya akina makelele,marcel desailly,gudjensen ,mateja kezman,zola,tore ander flo, those days under ranieri

Ninakuwa na mhaho kila timu inapocheza we need to change our style aise sio kila mtu wa wa kumpigia pass nyingi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kabla hamjaingia kwenye league na wanaume ,mmeoma fixture yenu hii TT mwenyewe mbele anaona Giza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-882503429.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom