Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,071
- 20,332
Nendeni haraka mkaombe kibali match ziahirishwe vinginevyo wolves anakuja kuwatatua marinda kabisa ....!
Pumbavu
Mechi na wolves iko wazi kabisa chelsea anakufa.
Haiitaji mjadala.
Nendeni haraka mkaombe kibali match ziahirishwe vinginevyo wolves anakuja kuwatatua marinda kabisa ....!
Pumbavu
We unaangalia mpira au unaangalia statisticsBoss we ni timu ipi unaizungumzia...
Hivi hizi statistics ni za timu inayopiga back passes?
Nmeangalia mpira. Atakayeniambia habari za kuwaste chances nitamuelewa.
View attachment 2046851
6 bigger chance watu wanakosa.... We unazungumza habari za back pass. Ni ni mpira gani huo wewe umeangalia?We unaangalia mpira au unaangalia statistics
Uwe unaangalia mpira kwanza
900 for nothing ni ujingaKwahiyi hata ukikuta chelsea kapiga pasi 900 kwa mechi usistuke cha msingi angalia ubao unasoma vipi si ndio?
Vp timu yako haikuwepo kwenye CL na wao wachukue kwa mgongo wa uviko?Yani nyie wehu mmechukua UCL kimaajabu ajabu kwa mgongo wa corona ndiyo eti mkaanza kujiona mmeshakuwa wakubwa, wajinga sana nyinyi watu.
Ajax ana UEFA 4 ,league cup 30 ....Man City msiongee nyie ni kama Aseno tu hamna UEFA hata ya ushahidi
[emoji28][emoji28][emoji28]Comment za kiingilishi zimeanza kupungua humu[emoji23][emoji23]
Honeymoon imeisha ata imechelewa sana[emoji28][emoji28][emoji28]
Beba Sasa Kama it's not a big deal [emoji1787][emoji1787]Ajax ana UEFA 4 ,league cup 30 ....
Unajua Nini CL hata Lille anachukua ,is not big deal bro ....
Wewe pambana na li timu lako la hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alafu mkuu msimu bado sana..hata Aseno anaweza kubeba kombeAjax ana UEFA 4 ,league cup 30 ....
Unajua Nini CL hata Lille anachukua ,is not big deal bro ....
Wewe pambana na li timu lako la hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lille Akichukua atakua kakuzidi tayariAjax ana UEFA 4 ,league cup 30 ....
Unajua Nini CL hata Lille anachukua ,is not big deal bro ....
Wewe pambana na li timu lako la hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe Kama ni shabiki wa arsenal unajifaliji sawa ,hata hao wakina Saka wanaocheza uwanjan kutafuta point 3 wanajua mziki wa kuchukua epl ,na wameshakata tamaa ,wanapigania top 4 ,sijui unataka kusemaje aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alafu mkuu msimu bado sana..hata Aseno anaweza kubeba kombe
Kwahiyo hawawezi kuchukua?Wewe Kama ni shabiki wa arsenal unajifaliji sawa ,hata hao wakina Saka wanaocheza uwanjan kutafuta point 3 wanajua mziki wa kuchukua epl ,na wameshakata tamaa ,wanapigania top 4 ,sijui unataka kusemaje aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio kuchukua tu hata kulisogelea kupiga picha hawawezi kabisa....jipangeni sanaKwahiyo hawawezi kuchukua?
Sawa na nyie hamuwezi kuchukua CL labda mkaliibeSio kuchukua tu hata kulisogelea kupiga picha hawawezi kabisa....jipangeni sana