Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Duh
20211216_094959.jpg
 
Vs Everton fc

Line up Prediction

-------- Werner --- Harvtez ---- Mount ----------

Alonso ---- Jognho ------ Cheek ------ James

-------- Rudger ------ Silva ----- Chalobah ------

[emoji117] Udhaifu utaendelea kuonekana hapo kwenye kiungo, na TT kwenye press conference alisema Kante atakuwepo kwenye benchi, ila haoni haraka ya kuhuwahisha kumchezesha ijapokuwa inatamanisha kumuona Kante uwanjani.
Kuna habari zimetoka kuwa kuna wachezaji watatu wamegundulika kuwa na Corona ukiachana na Mateo kovacic ...bado haijajulikana ni wachezaji gani hao
 
Vs Everton fc

Line up Prediction

-------- Werner --- Harvtez ---- Mount ----------

Alonso ---- Jognho ------ Cheek ------ James

-------- Rudger ------ Silva ----- Chalobah ------

[emoji117] Udhaifu utaendelea kuonekana hapo kwenye kiungo, na TT kwenye press conference alisema Kante atakuwepo kwenye benchi, ila haoni haraka ya kuhuwahisha kumchezesha ijapokuwa inatamanisha kumuona Kante uwanjani.
Wachezaji watano wana Covid19 match ya leo ngumu aiseeee
 
Tukipigwa hii mechi sitoshangaa kabisa


Hii timu inakatisha tamaa sasa

Hakuna shots on Target wanapiga pasi nyiiingi zisizo na kichwa wala miguu

Back pass kila wakati inakera sana mpira wanacheza mabeki jorginho na cheek tu

Kule mbele wako bize WTF

Inakera na kuboa

Everton wanafunguka kwa counter attacks


Sasa sijui ndio mpira anaofundisha TT au ni kukosekana kwa viungo wanaopenda shambulia

Jorgiho bila kante ni sawa na pascal wawa tu hawezi ibeba timu yeye kama yeye ukiondoa penati zako

Inakera sana
 
Tukipigwa hii mechi sitoshangaa kabisa


Hii timu inakatisha tamaa sasa

Hakuna shots on Target wanapiga pasi nyiiingi zisizo na kichwa wala miguu

Back pass kila wakati inakera sana mpira wanacheza mabeki jorginho na cheek tu

Kule mbele wako bize WTF

Inakera na kuboa

Everton wanafunguka kwa counter attacks


Sasa sijui ndio mpira anaofundisha TT au ni kukosekana kwa viungo wanaopenda shambulia

Jorgiho bila kante ni sawa na pascal wawa tu hawezi ibeba timu yeye kama yeye ukiondoa penati zako

Inakera sana
Mkuuu mbona tunacheza vzr tu
 
Tukipigwa hii mechi sitoshangaa kabisa


Hii timu inakatisha tamaa sasa

Hakuna shots on Target wanapiga pasi nyiiingi zisizo na kichwa wala miguu

Back pass kila wakati inakera sana mpira wanacheza mabeki jorginho na cheek tu

Kule mbele wako bize WTF

Inakera na kuboa

Everton wanafunguka kwa counter attacks


Sasa sijui ndio mpira anaofundisha TT au ni kukosekana kwa viungo wanaopenda shambulia

Jorgiho bila kante ni sawa na pascal wawa tu hawezi ibeba timu yeye kama yeye ukiondoa penati zako

Inakera sana
Yani Asipo change tactics na system,TT ataumizwaa na machokoraaa,Mtabakii mnasema Sisi ni mahater wakati show inaoneka na kwenye kioo cha Tv.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom