Sasa wewe hazard kwa sasa wanini? Ni team gani unayoiona haina matakataka,Bayern anafungwa na vi team vya ajabu ajabu tu unaona,mancity na wolves waneshinda kwa penalt tena ni baada ya mchezaji mmoja kupewa umemeJanuari inapaswa tumchukue Tchouameni na pia tumrudishe Hazard
Kwani lengo la kuwa uwanjani ni ball possession,short on target na short of target?Sasa wewe hazard kwa sasa wanini? Ni team gani unayoiona haina matakataka,Bayern anafungwa na vi team vya ajabu ajabu tu unaona,mancity na wolves waneshinda kwa penalt tena ni baada ya mchezaji mmoja kupewa umeme
Kitu usichokijua zile team za ulaya ni tofauti na za bongo wale wanawataalamu waliobebea kwenye mpira tofauti na huku kwenu.Bahati haikuwa upande wetu ndio,on target 10,ball possession 80 kwa 20,bado unaiponda hyo team..hamu nenda unakoona hakuna mataka taka
Shida sio tactics shida ni chance tunazoshindwa kuzitumiaMwambieni kocha abadili tactics na system Kutokana na timu anayo kutana nayo,Siku zinakujaa.Kuna wahuni watakuja kumgonga mchana buree kabisa Yani bila hata clean sheet.
Timuu ganii hiyo inayo tegemea kikosi Cha Kwanzaa tuu Ili kipate ushindii????ikitokea mabadiliko timu inapwayaa???? Hiyo siyo timu ni gengee la Wanywa pombee.