Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huwezi chukua league kwa kubahatisha bahatisha tu na kuote baadhi ya match kudadekii
 
Mwambieni kocha abadili tactics na system Kutokana na timu anayo kutana nayo,Siku zinakujaa.Kuna wahuni watakuja kumgonga mchana buree kabisa Yani bila hata clean sheet.

Timuu ganii hiyo inayo tegemea kikosi Cha Kwanzaa tuu Ili kipate ushindii????ikitokea mabadiliko timu inapwayaa???? Hiyo siyo timu ni gengee la Wanywa pombee.
Naungana na wewe hiyo timu NI genge la wanywa wanzuki
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chelsea what's wrong [emoji53]?
 
Hii ishu ya kusema hatukuwa na bahati ni upuuzi tu. Niliwahi sema hapa tusijifiche kwenye mgongo wa majeraha, hii timu ina matakataka mengi mno. Hiv kweli mtu kama Saul ni wa kucheza Chelsea.!!?
Acha kulia lia kiwango chenu kimefikia mwisho
 
Chelsea akikosa ubingwa sio kama hakupambana bali tu bahati haikuwa kwake.angalia mechi ya bunley alidraw lakin walikosa magoli mengi sana. Angalia eveeton ka draw ila angalia chances alizokosa mount na james .ingekuwa bado chelsea anaongoza ligi hadi sasa ila ndio mpira.akitokea mtu huko kibonde maji akianza kuiponda chelsea namshangaa sana atakuwa sio mtu wa mpira kabisa bali ni mtu wa somo la historia ya timu zilizochukua ubingwa mara nyingi akiwa yeye hajazaliwa.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Ok fine we want the final results na sio mambo ya kukosa magoli kwani advantage ya kukosa magoli ni ipi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20211217-084326.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom