Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Anahisi hao walio juu yetu ni malaika hawatelezi,
[emoji3][emoji3][emoji3]asee kumbe unasubil adui yako ateleze kama unakumbukumbu LIVERPOOL NA MAN CITY wamewai kushinda mechi 18 mfululizo za ligi kuu ,sasa kama inashinda zaidi ya mechi 10 mfululizo alaf wewe unadraw na underdog timu utampita vipi huyo adui yako
 
[emoji3][emoji3][emoji3]asee kumbe unasubil adui yako ateleze kama unakumbukumbu LIVERPOOL NA MAN CITY wamewai kushinda mechi 18 mfululizo za ligi kuu ,sasa kama inashinda zaidi ya mechi 10 mfululizo alaf wewe unadraw na underdog timu utampita vipi huyo adui yako
Manake wao kwa wao hawafungani wakikutana,Inamaana sala na mane wakienda afcon watabaki na fom hiyo hiyo..sisi wenyewe tumewaongoza kwa point nne tumeteleza kidogo wametupita ila sio tumelikosa kombe
 
Na wengi humu wako hvyo,ukiangalia man city,bayern,liverpool,kuna muda wanabanwa na viteam vidogo mpka unashangaa,PSG ina ule utatu mtakatifu inakufa mbele ya kiteam kulichopewa na mhindi odds 15...Wanakuja kushangaa chelsea inayofundishwa na benitez kumdindia chelsea,wanadhani benitezi ni seleman matola..wanadhani labda moyes ni Ni cedric kaze,wao hawajui kuwa makocha hao wanatumia muda mwingi kuharibu mbinu za mpinzani

Team ingekuwa haichezi hapo sawa,ingekuwa haictreate chance sawa,ila wanasimangwa na washabiki pinzani na wao wanapaniki..kombe bado sana kusema tumelikosa
Kweli mkuu
 
Mwaka gani huo walishinda mechi 18 wao bila kukutana
Hiyo
20211218_141114.jpg
 
Bado naiona Chelsea ikishinda kombe la epl
Subili uangalia dhid ya wolves ....

The astonvilla ....


Kabla hamjakutan. Na Liverpool harafu city ....

Maana yaka hizo game zinafuatana ........
 
Si Mna kikosi kipana jamani,Shida ni Nini? Au mpaka kikosi ambacho kilikuwa na kismart Cha kuchukua uefa kiwepoo ndo Muna maajabu?

Kina Saul mlichukua wa Nini? Kina Ross muliwarudisha wa Nini Wakati Aston villa walikuwa wanakiwasha,
Vipi kina Lukaku Epl iliyo washinda,mliwarudisha wa niniii!!!
Alafu kuhusu huyo Lukaku, tulisha waambia humu, "hicho ni kiroba cha mahindi" wakabisha.

Leo hata goli 5 hakina, mpaka sasa.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sasa Arsenal ni bora kuliko Chelsea
City na Liverpool tusijipime kabisa nao
Tukiendelea kupoteza point kwa mechi mbili zaidi mwezi huu tusahau kabisa EPL title race itakuwa ni two-horse race
Sisi tuwekeze kwenye top 4 na UCL na yale makombe ya mbuzi
Tusitegemee Kante, Chilwell na Kovacic wakaja na kuwa fit na kuleta impact mara moja kwa majeruhi kama yale ya muda mrefu
Matokeo mengine zaidi ya haya ya maelezo yangu ni miujiza tu
 
Mendy lile goli la Everton angeweza kuupiga konzi ule mpira na kumvurugia mfungaji ila basi anasubiri kudra za Mnyazi Mungu utoke ikawa sivyo. Kwenye hilo naona Kepa ni bora kuliko Mendy
 
Mendy lile goli la Everton angeweza kuupiga konzi ule mpira na kumvurugia mfungaji ila basi anasubiri kudra za Mnyazi Mungu utoke ikawa sivyo. Kwenye hilo naona Kepa ni bora kuliko Mendy
Acha bangi ww tena punguza ulanzi kijana nahisi utakuwa sawa na utimamu wako kama mwanzo
 
Huo ndo ukweli unaoumiza unajiita title contender unashindwa kuifunga Manchester United mbovu kabisa ambayo ilifungwa 5 na liverpool na man city akajipigia wewe upo kwako unaomba kusuruhu tena kwa penalty ya mchongo, unashindwa kumfunga Everton tena aliyechezesha vitoto vya academy,
Kipindi wanafungwa walikua hawajatimua
 
Mbona hatujafanya vibaya...tupo vizuri hata hao wanaokiwasha watakuja kuboronga tu na wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom