John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,040
Fuatilia Mzee kocha wako mpk anadiss michuano ya Africa na kusababisha kuchukiwa na Makocha km Yule wa Senegal....sio unakuja hapa na kutema shuduYaani unaongea useless mkuu, kwamba klopp ang'ang'anie mane n salah kwa sababu ya chelsea? Kwanza sisi wenyewe hatuna majigambo kama yenu ya kuwa tunakikosi kipana na hilo lipo wazi je' nyie wenyekikosi kipana?