Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jana niliangalia mechi zote kubwa
Chelsea tulicheza vizuri ila Alonzo ndio career yake kwa timu kubwa kama Chelsea ndio imeishia hapo
Rudiger jana katubeba sana kwa zile penalti alizitafuta kwa akili sana

Timu zote nne zilibebwa na penalti tena za kijanja janja
Norwich alicheza vizuri sana dhidi ya Manure
Wolve kama kawaida yao, kocha mpya na 3-5-2 nao ni poa kwao, wamekua wazuri sana
Aston Vila ya Steve Gerald nayo imebadilika sana, ni moto wa kuotea mbali, pamoja na uzuri wa Fools ilibidi wabebwena penalty ya Salah kujilaza
Chelsea nayo ilicheza vizuri, Alonso katuuza kama kawaida yake, viungo wetu bado hawajui kumaliza kesi pale katikati ndio maana beki zetu zinaonekana kuzidiwa
 
Mkuu nyinyi si mnasemaga mnakikosi kipana,Vipi sasa mpaka wachezaji wote warudi?

Mpaka warudi mtakuwa nafasi ya 5 huko tofauti ya points 21 na Liverpool.

Timu yenu ni ya kawaida sana,ni swala la muda tu ,mkiambiwaga hamsikii.

Mkuu timu yenu pumzi imekata kwa sasa hapo ndio Epl.

Sasa hivi kila mechi mnaruhusu goli za kutosha.
Ni timu ya kawaida ukilinganisha na nani?
 
Kocha wako mwenyewe anajua Chelsea sio timu ya kawaida ndo maana anahangaika kuwabakiza kina mane n Salah [emoji23] mechi ya tarehe moja mwaka mpya wawepo ....sasa wewe upo mbinga huko unaleta husda zako Tu na kelele kibao
Hiyo match ilibidi ichezwe january katikati hivi ili hao Kunguni wajue timu yao ni takataka kiasi gani.
 
Mkuu nyinyi si mnasemaga mnakikosi kipana,Vipi sasa mpaka wachezaji wote warudi?

Mpaka warudi mtakuwa nafasi ya 5 huko tofauti ya points 21 na Liverpool.

Timu yenu ni ya kawaida sana,ni swala la muda tu ,mkiambiwaga hamsikii.

Mkuu timu yenu pumzi imekata kwa sasa hapo ndio Epl.

Sasa hivi kila mechi mnaruhusu goli za kutosha.
Kweli mkuu siwanakikosi kipana hawa? Walikuwa wanajitapa saivi wanalia lia kuhusu majeruhi ya kante, kovacic na Chilwell.
 
Kocha wako mwenyewe anajua Chelsea sio timu ya kawaida ndo maana anahangaika kuwabakiza kina mane n Salah [emoji23] mechi ya tarehe moja mwaka mpya wawepo ....sasa wewe upo mbinga huko unaleta husda zako Tu na kelele kibao
Yaani unaongea useless mkuu, kwamba klopp ang'ang'anie mane n salah kwa sababu ya chelsea? Kwanza sisi wenyewe hatuna majigambo kama yenu ya kuwa tunakikosi kipana na hilo lipo wazi je' nyie wenyekikosi kipana?
 
Yaani unaongea useless mkuu, kwamba klopp ang'ang'anie mane n salah kwa sababu ya chelsea? Kwanza sisi wenyewe hatuna majigambo kama yenu ya kuwa tunakikosi kipana na hilo lipo wazi je' nyie wenyekikosi kipana?
Kikosi kipana kipi hicho ingali wanalia first eleven wengi ni injuries ndo chanzo Cha matokeo mabovu
 
Muondoe Cheek hapo, tatizo lake la kung'ang'ania kukaa na mpira hadi ananyang' anywa linajulikana na ni minor tofauti na potential aliyonayo. kwenye attacking Cheek ni mzuri sana hata kwenye kukaba. nimespot scenes nyingi za kushambulia na kikaba anajua kiblock na kuwin second balls sio zaidi ya Kante na Kova lakini anakua kwenye hayo maeneo. Sasa hivi anaanza kwa sababu wenye hizo nafasi wako majeruhi. mimi naamini Cheek akimaliza msimu huu na TT akipata minutes za kutosha msimu ujao atatisha japo ushindani utakuwa mkubwa hasa wakirudi Garagher na Gilmour
Garagher ni moto Gilimore bado sana
 
Mkuu nyinyi si mnasemaga mnakikosi kipana,Vipi sasa mpaka wachezaji wote warudi?

Mpaka warudi mtakuwa nafasi ya 5 huko tofauti ya points 21 na Liverpool.

Timu yenu ni ya kawaida sana,ni swala la muda tu ,mkiambiwaga hamsikii.

Mkuu timu yenu pumzi imekata kwa sasa hapo ndio Epl.

Sasa hivi kila mechi mnaruhusu goli za kutosha.

Chelsea ingekuwa timu ya kawaida msingekuwa mnakesha humu. Yaani timu iwe ya kawaida alafu uje ukomenti kwenye uzi wake? Realy!

Chelsea ni timu inayowanyima usingizi EPL nzima. Na ndiyo maana kutwa mpo hapa kuiponda[emoji23][emoji23]

Acheni wivu za kima mama. Mpira ni burudani mkuu.
 
Chelsea ingekuwa timu ya kawaida msingekuwa mnakesha humu. Yaani timu iwe ya kawaida alafu uje ukomenti kwenye uzi wake? Realy!

Chelsea ni timu inayowanyima usingizi EPL nzima. Na ndiyo maana kutwa mpo hapa kuiponda[emoji23][emoji23]

Acheni wivu za kima mama. Mpira ni burudani mkuu.
Kwani mpo nafasi ya ngapi na liverpool ni nafasi ya ngapi?
 
Kwani mpo nafasi ya ngapi na liverpool ni nafasi ya ngapi?

Kwani kuwa kwenye nafasi fulani ndiyo nini?

Chelsea anaogopeka Na ndiyo maana kila muda mnakuja na hangover zenu humu kutukana. Tulizeni midomo yenu mpira hauchambuliwi ki kike kike ivo.
 
Kwani kuwa kwenye nafasi fulani ndiyo nini?

Chelsea anaogopeka Na ndiyo maana kila muda mnakuja na hangover zenu humu kutukana. Tulizeni midomo yenu mpira hauchambuliwi ki kike kike ivo.
Kama nyie mnavyokujaga kwenye uzi wetu? Inamaana sisi tunaogopana sio?
 
Tatizo linakuja halaand haipendi the BLUES
Huo ni mtizamo wa utoto, mtoto kuchagua chakula ni jambo la kawaida lakini akishakua atashika adabu, Dotmund hawezi kubaki, Real Madrid wamefocus kwa Mbape, Bacelona ndio hiyo imejifia kwa sababu ya corona. Kuja Chelsea sio uchaguzi ni lazima, labda Chelsea wamkatae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom