Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyo chalobah wamuache tu apone vizuri hana impact yoyoyote, wasimrush.
Mmmh mkuu Labda unaangalia TV tofauti, chalobah kakichafua Sana mechi za hv karibuni mpk tukaona Kwa Hali hiyo Christensen Mbona ataishia kukaa benchi Kwa muda mrefu.....na kingine dogo pia anaweza akakichafua DM hata Ile siku aliyoumia Vs Watford aliingia kucheza mara baada ya Saul kutolewa ...ukiachana na kante na kovacic anayeweza kucheza vizuri pembeni ya jorghino km mkabaji n huyu DG chalobah
 
20211215_181523.jpg
 
Nenda kwenye thread yako huku umefuata Nini A.Madrid anafurahia uko kukupata wewe kibonde
Mpaka mwezi wa pili timu yangu itakua ishakaa sawa,hivyo tegemea kuwaona Man utd fainali na Bayan Munich.

Na kinaenda kujirudia kilicho tokea mwaka 1999, sijui ulizaliwa?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka mwezi wa pili timu yangu itakua ishakaa sawa,hivyo tegemea kuwaona Man utd fainali na Bayan Munich.

Na kinaenda kujirudia kilicho tokea mwaka 1999, sijui ulizaliwa?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hahahah... kwamba ikifika mwezi wa pili magwaya atakuwa beki wa maana wa kuwazuia akina Lewandoski?

Kile kichwa kikubwa kitakuwa kimepungua au?
 
Mmmh mkuu Labda unaangalia TV tofauti, chalobah kakichafua Sana mechi za hv karibuni mpk tukaona Kwa Hali hiyo Christensen Mbona ataishia kukaa benchi Kwa muda mrefu.....na kingine dogo pia anaweza akakichafua DM hata Ile siku aliyoumia Vs Watford aliingia kucheza mara baada ya Saul kutolewa ...ukiachana na kante na kovacic anayeweza kucheza vizuri pembeni ya jorghino km mkabaji n huyu DG chalobah
Wengi hawaangalii mpira. Sisi tunaoangalia mpira tunajua umuhimu wake ndani ya pitch. Dogo ni mtu na nusu[emoji28][emoji28]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom