lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,696
- 25,911
Hiyo level na sisi tunamuhitaji kwa sababu ya sub mkuuCheek uwezo wake ni wa timu kama West ham, Crystal palace. Atashine sana kama Zaha.
Hiyo level na sisi tunamuhitaji kwa sababu ya sub mkuuCheek uwezo wake ni wa timu kama West ham, Crystal palace. Atashine sana kama Zaha.
ktk umri huo na kwa COVID-19 delta variant bado inashamiri hakuna klabu itamlipa huo mshahara, mwisho laki mbili tu angalau kwa misimu miwili ijayo akicheza kwenye ligi ngumu ili aprove consistency yakeHahahaha[emoji1787] umeua kaka. Sasa the blues tupo tayari kumlipa mshahara wa £450k kwa wiki?
Galagher ameimprove sana kwenye mkopo wa Crystal Palace, kabla ya hapo no. Pia kama sijakosea Cheek, Barkley wamebaki Chelsea baada ya kukosa timu ya kwenda mkopoUnabaki na Chicken unamtoa mkopo Gallagher hiyo akili matope.
Salah na Mane wakienda afcon, Liver inakuwa real fools, hawajui la kufanya mbele, mkibisha tusubiri tusiandikie mate ilihali wino upo. Kusanyeni points nyingi kabla jamaa hawajaenda Afcon tena nasikia wataenda wiki kabla kama ilivyopangwa kwa sababu ya Al ahly wanapush mashindano yaanze tarehe 3 January 2022 badala ya tarehe 9 January 2022, ikiwa hivyo Mane na Salah itabidi waondoke kabla ya ya mwaka mpya na hivyo kukosa mechi kati yake na Chelsea ambayo imepangwa kucheza Stanford Bridge tarehe 2 January 2022Yaani unaongea useless mkuu, kwamba klopp ang'ang'anie mane n salah kwa sababu ya chelsea? Kwanza sisi wenyewe hatuna majigambo kama yenu ya kuwa tunakikosi kipana na hilo lipo wazi je' nyie wenyekikosi kipana?
Kuna watu mwanzoni niliwaambia huyu dogo ni hatari wakaponda, arudishwe tu. Tusije tukatumia pesa nyingi kuwanunua akina Havertz wakati tunao wanaomzidi Havertz kwa bure kabisaHuyu dgo Gallagher ana hatari sana game ya leo ya Everton amefanya mambo ya hatari sana natamani January arudi kundini
Ndio tunamkataà na ssiHuo ni mtizamo wa utoto, mtoto kuchagua chakula ni jambo la kawaida lakini akishakua atashika adabu, Dotmund hawezi kubaki, Real Madrid wamefocus kwa Mbape, Bacelona ndio hiyo imejifia kwa sababu ya corona. Kuja Chelsea sio uchaguzi ni lazima, labda Chelsea wamkatae
Sasa hivi timu zote zinazofanya vizuri hazina straika wa kusimama Chelsea ndo tunapofeligi kuchukua mastaika wa kusimama tuuMino Raiola sasa aigeukia Chelsea, nadhani anaiona Chelsea ndio pekee kwa sasa ina mahela ya kumninua Haaland
Mnakua kama mmepungua..Sasa nkajiulizaga Chelsea hawakuliona hili?Hakuna mfumo wa kushambulia ninaouchukia kama stiker kusimama pale mbele kama mlingoti.
Mfumo wa kumtegemea stiker ndio afunge magoli.
Kumbe kwa Lukaku fedha imepotea? Nyinyi Chelsea ndoo mlikuwa mnashangilia kwelikweli mnasema kila siku Lukaku atakuwa anaondoka na mpira?Sasa hivi timu zote zinazofanya vizuri hazina straika wa kusimama Chelsea ndo tunapofeligi kuchukua mastaika wa kusimama tuu
Hata huyo Halaand Chelsea watapoteza pesa zao bure tuu Kama kwa Lukaku
Hilo linawezekana kwasababu msimu haujaisha badoKumbe kwa Lukaku fedha imepotea? Nyinyi Chelsea ndoo mlikuwa mnashangilia kwelikweli mnasema kila siku Lukaku atakuwa anaondoka na mpira?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hawa jamaa huwa nivigeu geu sana.Kumbe kwa Lukaku fedha imepotea? Nyinyi Chelsea ndoo mlikuwa mnashangilia kwelikweli mnasema kila siku Lukaku atakuwa anaondoka na mpira?
Nani kakuongopea kua Lukaku ni bonge la mchungaji, mmepigwa hapo.TT alishapata utamu wa mfumo wa false no.9 (Kai Harvetz), mfumo ambao umempa makombe 2 makubwa.
Sasa sijajua kama ni yeye TT aliidhinisha striker asajiliwe, au uongozi ndio uliamua hivyo.
Kama TT alipitisha Lukaku asajiliwe, still bado hamtegenezei style ya uchezaji afunge magoli mengi sijajua shida ni nini?
Lukaku ni bonge la striker namba zake za kufunga magoli zinaonyesha hivyo.
Akikutana na timu au mabeki wenye kujua kumkatia striker RB ndio kazi imeisha hapo. Ni kweli ila bado kuna strikers wengi wenye uwezo wa kucheza kama wide winga na mfano mzuri ni KaneHakuna mfumo wa kushambulia ninaouchukia kama stiker kusimama pale mbele kama mlingoti.
Mfumo wa kumtegemea stiker ndio afunge magoli.
Mfumo wa TT ni wa kila mchezaji kuwa mobile, ndio maana unaona kiungo akikaba kama CB na CB akishambulia kama strikerLukaku kufunga magoli ni TT kubadili mfumo utakaomtegemea Lukaku afunge magoli. Sioni TT akifanya hilo
Kwa mfumo uliopo sasa hivi wa kila mchezaji anafunga magoli sioni Lukaku akifunga magoli mengi.
Labda Lukaku abadilishe style yake ya uchezaji, acheze kama Kai Harvetz kushuka chini kuchukua mipira, kushambulia kutoka kushoto, kulia & katikati.
Ila akiendelea kusimama pale kwenye box lango amelipa mgongo, sorry kwake.
Inawezekana, unaweza katisha mkopoSheria ya mkopo inasemaje? Mchezaji anapokuwa na mkataba wa mkopo msimu mzima? Unaweza kumrudisha katikati ya msimu?
Huyo Kai anafunga sasa mpka Lukaku abdli style ya uchezaji?Lukaku kufunga magoli ni TT kubadili mfumo utakaomtegemea Lukaku afunge magoli. Sioni TT akifanya hilo
Kwa mfumo uliopo sasa hivi wa kila mchezaji anafunga magoli sioni Lukaku akifunga magoli mengi.
Labda Lukaku abadilishe style yake ya uchezaji, acheze kama Kai Harvetz kushuka chini kuchukua mipira, kushambulia kutoka kushoto, kulia & katikati.
Ila akiendelea kusimama pale kwenye box lango amelipa mgongo, sorry kwake.
Majigambo yayoke wapi wakati kweli hamna kikosi kipana....Yaani unaongea useless mkuu, kwamba klopp ang'ang'anie mane n salah kwa sababu ya chelsea? Kwanza sisi wenyewe hatuna majigambo kama yenu ya kuwa tunakikosi kipana na hilo lipo wazi je' nyie wenyekikosi kipana?
Sijui aiseee... ngoja tuoneHuyu dgo Gallagher ana hatari sana game ya leo ya Everton amefanya mambo ya hatari sana natamani January arudi kundini