Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,806
- 40,410
Wameanza kuitafuta nafasi yao ya asili.Leo mpaka kufikia saa 4 mnakuwa nafasi ya 3 hahahhaha
Wameanza kuitafuta nafasi yao ya asili.Leo mpaka kufikia saa 4 mnakuwa nafasi ya 3 hahahhaha
Tunazika au tunasafirisha?[emoji117] POLENI THE BLUES KWA KUANGUKIA PUA
[emoji117] Tumepoteza round ila hatujapoteza pambano.
[emoji117] Hakuna kukata tamaa, njia ya kubeba kombe haijawahi kuwa rahisi.
#Pride of London
Mkuu kwamba humjui huyu jamaa?? Ukitaka kumpata kwa hizi wiki mbili nenda kule wanakopika, humu hutampataNamtafuta dada Olachugga
Lukaku alikuwa hapaswi kuingia kwenye hii mechi sababu madogo huwa yanafanya ujinga ujinga mwingi sana wa uchoyo hasa akiwepo Lukaku uwanjani.[emoji117] POLENI THE BLUES KWA KUANGUKIA PUA
[emoji117] Tumepoteza round ila hatujapoteza pambano.
[emoji117] Hakuna kukata tamaa, njia ya kubeba kombe haijawahi kuwa rahisi.
#Pride of London
Simtank walipigwa paleLukaku hafai
Na wana makombe yao ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE na UEFA SUPER CUP...[emoji16]Wameanza kuitafuta nafasi yao ya asili.
Sosha yupo hana kazi
Bwege kweli peleka ushabiki mavi
Chelsea alishafungwa na Man City, labda kama dishi lako limeyumbaNa kakubikiri na wewe leo hii., imekula kwako
Individual mistake leo zimekuwa nyingi sanaKwa mara ya kwanza Chelsea imecheza vibaya sana
Ng'olo Kante, Kovacich na Chilwel wamechangia sana Chelsea kuyumba namna ya kushinda hivi karibuni.Back pass back pass zimekuwa nyingi sana why
Kwan kova lin anarudi?? Na ngola nae lin ?Ng'olo Kante, Kovacich na Chilwel wamechangia sana Chelsea kuyumba namna ya kushinda hivi karibuni.