Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,396
pole kwa mpapaso
Wazima kabisa na hawajambo
Sahivi clean sheet fanyeni kama mnaisahau tuKusemwa kwa kupokezana. Tusemeni tuu mtoe ya moyoni
Tuchel out, tunamtaka Sosha sisiTuyaache haya maneno, tukiwa tunashinda huwa hatuyasemi ila siku tukifungwa tunaanza tim yetu imejaza matakataka,
Kuna game unacheza vibaya unapata matokeo na kuna game unacheza vizuri hupati matokeo na kuna game unacheza vibaya na unaadhibiwa
Tumekuwa tukifanya individual mistake hiv karibun,
Remember injury nazo zinaturudisha nyuma, chilwell,kova,kante,chalobah na leo tena kai kaumia tena
Bado tupo kwenye mbio, if tukistahimili vizuri huu mwezi .
Matakataka tu.Tuyaache haya maneno, tukiwa tunashinda huwa hatuyasemi ila siku tukifungwa tunaanza tim yetu imejaza matakataka,
Kuna game unacheza vibaya unapata matokeo na kuna game unacheza vizuri hupati matokeo na kuna game unacheza vibaya na unaadhibiwa
Tumekuwa tukifanya individual mistake hiv karibun,
Remember injury nazo zinaturudisha nyuma, chilwell,kova,kante,chalobah na leo tena kai kaumia tena
Bado tupo kwenye mbio, if tukistahimili vizuri huu mwezi .
Polee mzee!Hahahaha[emoji23]
Haya majeruhi du tutateseka sanaYaan Sijui Ntaambia nini watu, hapa nilipo nipo kama Nimepigwa na Kitu kizito sana Kichwani..... Natamani kulia Nashindwa, Hasira sijui nizihakishie wap hizii yaan nimevurugwa kbsa na haya matokeo...
Poleni sana Chelsea wenzangu pia poleni sana wale ambao mko kweny hali kama yangu
Alikuwa anatoa krosi afu ikajuchinja 1 kwa 1 ndaniJamaa katufunga bonge la goli.
Nyie kelele nyingi tu hamna loloteWazee tuzike kabisa. Muda wa Kusafirisha hakuna jumanne next mechi
Man u kwan na nyie mna nini?Mlidhani man u tulivyo mfunga west ham tulibahatisha[emoji23][emoji23][emoji23] mlijua mtajipigia tucheki hutu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wew boya west ham tulimkalisha 2kwa1 kwao bwegeWestham kawafunga ....
Man utd
Liverpool
Chelsea ..
Except the cityzen ....harafu ile game yetu against westaham tuliimaliza mapema kabisa tuliwamaliza wakati snow inamwagika Hatari ,yaan hata mpira hauonekani vzuri
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ole for Chelsea [emoji3][emoji3]Ole bonge la kocha. Viatu vya TT vinamtosha kabisa
Nooooo Sosha for chelsea hatumtaki Ole sisiOle for Chelsea [emoji3][emoji3]