John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Antonio Conte Mzee Mbona kimya Sana tumekumbuka zile analysis zako...
Nimetoka kukutag na we umeandika safi chiefSalama wadau wangu wa nguvu? Haian haja ya kufanya uchambuzi wa nguvu juu ya game ya Jana!
Wataalam wanasema hivi! Km ukiwa una mafanikio makubwa ya aina yoyote ile iwe ya kiuchumi kielimu or whatever. Hauhitaji kutoa maelezo sanaaaa ya kwamba ilipata hayo mafanikio kwa namna gani! Kile unachopaswa kufanya ni kuacha hayo mafanikio yajieleze yenyewe..... Yaani unaacha watu wajieonee wenyewe na kutoa maelezo wenyewe....
Tukutane tarehe 28 kwa Liverpool tukamnyoge huko huko!
Ila wadau nawaacha na kibwagizo hichi.... Pesa tulio mnunulia Lukaku imeanza kuleta faida sanaaaaa! Tunahitaji Lukaku afunge magoli 50 msimu huu.... Kz kwao Matip, VVD na Gomez.... Mzigo huo wa Lukaku unakuja....
Kiongozi nipo nimejaa tele mkuu wangu! Ligi ndio imeanza sasa muda wote tutakuwa hapa wakuu!Antonio Conte Mzee Mbona kimya Sana tumekumbuka zile analysis zako...
Ilikuwa lazima nipite kutoa salamu Leo wakuu wangu wa nguvu... Maana mambo ndio yameanza sasaNimetoka kukutag na we umeandika safi chief
INGIA GOOGLE ANDIKA "HESGOAL" IKARIRI VYEMA HUTAPATA TABU TENA.Dah mnafeli mnafeli mwanangu hamtumi link aisee
Huu sasa ndiyo uungwana kama wasemavyo wahengaMikel Arteta: "Chelsea were too good for us today. They have world class players and world class organisation. That's why they are the European Champions."
Mkuu hizo partnership ndiyo zinaleta shida. Siku zote kocha anaetumia Rotation ya wachezaji ndiyo anayepata matokeo. Remember last season baada ya tuchel kuchukua Chelsea amefanya Rotation Karibia mechi zote.Badiliko la Kante kuchukua nafasi ya Kova ni sawa kabisa ila hizo position nyingine zisalie kama mwanzo maana wachezaji washatengeneza partneahip nzuri


Huyo Jamaa hajui hii COVID19 imepelekea klabu nyingi sana kung'ang'ania wachezaji wake ndiyomaana usajili umekuwa mgumu sana.Aisee Nyie mlikuwa mnamtaka Nani sasa.....Lukaku hatujapigwa Mzee
Yule Zumbukuku wa Man City hajaja kukuambia kuwa unaotaTunaanza kampeni Mara moja ya kutangaza ushindi dhidi ya liverkuku
Tuchel atumie ule mfumo ambao tulimlaga livakuku kipindi cha Mourihno.. Wao wacheze mpira halafu mbele anasimama Lukaku tu ..yule vvd inatakiwa atoe ulimi nje au ale majani.
Hapo kati tupia komandoo Kante, kamanda Kova na mtumishi Jogigho..
Nyuma weka kamati ya roho mbaya Rudger, Christiansen, Ben Chilwel na dogo Challobah kazi imekwisha..
Kama kawaida ukuta wa Berlin utasimama kwa jina la Mendy..
Hapo sub tunajua kutakuwa hapatoshi..
Kikitoka Chuma kinaingia Chuma..
Kuku tutachinja kwa kisu cha mbao tena tunaanzia mkiani.
Mpira dkk tisini hadi sasa tunaongoza moja.
Livakuku 0-2 hadi 3 Chelsea.
CFC
Maana huwa ni kiherehere sana kwenye nyuzi za Wanaume 
Kabisa, yani kwenye listi ya top 5 au 10 ya wachambuzi mahiri sana ktk hili jukwaa la Chelsea CF, huyu mwamba naye hakosekani, lakini sijui kwanini siku hizi anakuwa adimu sana.Antonio Conte Mzee Mbona kimya Sana tumekumbuka zile analysis zako...


Safi sana, ila unamkosea heshima Ng'olo Kante kumuita jini ilihali anafanya vitu vizuri na vya kipekee sana, naomba utengue hiyo kaulj mara 1 umuhite jina lingine au hata malaika....Mkuu hizo partnership ndiyo zinaleta shida. Siku zote kocha anaetumia Rotation ya wachezaji ndiyo anayepata matokeo. Remember last season baada ya tuchel kuchukua Chelsea amefanya Rotation Karibia mechi zote.
Faida ya Rotation ni kufanya wachezaji wasichoke pia ina leta hamasa baina ya wachezaji kila mmoja anapopata nafasi anaitumia vizuri na kuleta matokeo.
Pia Ujue Kuwa Chelsea ana kikosi kipana kila sehemu pako vizuri. Ushauri wangu next chilwell aanze upande wa Alonso. Zyrich akae saba na timo akae 11 lukaku abaki kati.
Rudga, christiansen, james na Azip waendelee. Sita akae jojinyo pembeni NG'OLO KANTE Jini kata umeme
Kingine Tunajua wote kuwa Alonso akicheza mechi tatu au 4 mfululizo inayofata lazima aboronge. So Rotation is very very important mawazo yangu


Safi sana, ila unamkosea heshima Ng'olo Kante kumuita jini ilihali anafanya vitu vizuri na vya kipekee sana, naomba utengue hiyo kaulj mara 1 umuhite jina lingine au hata malaika....![]()