Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jitu nyumba vibeki uchwara vinaning'inia tu na kubebwa!
FB_IMG_1629739779818.jpg
 
Mkuu hizo partnership ndiyo zinaleta shida. Siku zote kocha anaetumia Rotation ya wachezaji ndiyo anayepata matokeo. Remember last season baada ya tuchel kuchukua Chelsea amefanya Rotation Karibia mechi zote.

Faida ya Rotation ni kufanya wachezaji wasichoke pia ina leta hamasa baina ya wachezaji kila mmoja anapopata nafasi anaitumia vizuri na kuleta matokeo.

Pia Ujue Kuwa Chelsea ana kikosi kipana kila sehemu pako vizuri. Ushauri wangu next chilwell aanze upande wa Alonso. Zyrich akae saba na timo akae 11 lukaku abaki kati.
Rudga, christiansen, james na Azip waendelee. Sita akae jojinyo pembeni NG'OLO KANTE Jini kata umeme

Kingine Tunajua wote kuwa Alonso akicheza mechi tatu au 4 mfululizo inayofata lazima aboronge. So Rotation is very very important mawazo yangu
Ila rotation haitakiwa ifanywe kikasuku, kuna wachezaji wakijua ni lazima watacheza kwa staili hiyo hawatafight, mchezaji anayefight position apendelewe zaidi hata kama kuna rotation. Rotation isiwe gift, yaani kila mchezaji lazima acheze. Hii sio pre-season.
Mfano nisingependa Lukaku afanyiwe rotation hata Mendy
Nisingependa pia Rudiger afanyiwe rotation kwa sababu ana consistency nzuri na sio injury prone
Ningependa hawa wafanyiwe rotation
  1. Werner
  2. Havertz
  3. Pulisic
  4. Mount
  5. Ziyech
  6. Kovacic
  7. Kante - hasa kwa sababu ni injury prone ila kwenye mechi kubwa apangwe wa kuanza
  8. Reece
  9. Alonso na Chilwell ila Alonso naona anafight kweli kweli hadi nawiwa kumpendelea acheze mechi kubwa zaidi
  10. Chritasnen
  11. Chalobah - Hasa kwa sababu bado anayo mengi ya kujifunza, na katika umri wake ni rahisi kukosa consistency
  12. Azpilicueta kwa sababu ya uzee
  13. Silva kwa sababu ya umri
  14. Odoi baadhi ya mechi hasa ndogo aanze
Wachezaji hawa kama n i rotation iwe nadra sana tena kwenye mechi ndogo au za makombe madogo kama FA na Karabao hatua za mwanzoni
  1. Mendy
  2. Lukaku
  3. Rudiger
 
Ila rotation haitakiwa ifanywe kikasuku, kuna wachezaji wakijua ni lazima watacheza kwa staili hiyo hawatafight, mchezaji anayefight position apendelewe zaidi hata kama kuna rotation. Rotation isiwe gift, yaani kila mchezaji lazima acheze. Hii sio pre-season.
Mfano nisingependa Lukaku afanyiwe rotation hata Mendy
Nisingependa pia Rudiger afanyiwe rotation kwa sababu ana consistency nzuri na sio injury prone
Ningependa hawa wafanyiwe rotation
  1. Werner
  2. Havertz
  3. Pulisic
  4. Mount
  5. Ziyech
  6. Kovacic
  7. Kante - hasa kwa sababu ni injury prone ila kwenye mechi kubwa apangwe wa kuanza
  8. Reece
  9. Alonso na Chilwell ila Alonso naona anafight kweli kweli hadi nawiwa kumpendelea acheze mechi kubwa zaidi
  10. Chritasnen
  11. Chalobah - Hasa kwa sababu bado anayo mengi ya kujifunza, na katika umri wake ni rahisi kukosa consistency
  12. Azpilicueta kwa sababu ya uzee
  13. Silva kwa sababu ya umri
  14. Odoi baadhi ya mechi hasa ndogo aanze
Wachezaji hawa kama n i rotation iwe nadra sana tena kwenye mechi ndogo au za makombe madogo kama FA na Karabao hatua za mwanzoni
  1. Mendy
  2. Lukaku
  3. Rudiger
Katika hao wote uliowataja. Toa Mason Mount.
 
Je hii ndio ile alipokuwa anakimbia kusubiri pasi ya james au nyingine. Maana kuna jamaa alim zui hadi kwa mikono alipoanza kukimbia mbele kuwahi pasi ya James jama akaachwa anajigaragaza mwenyewe chini
Ha ha ha ha hii sio hiyo kuna ile moja ilipelekea mpk huyo beki akapewa kadi ya njano
 
Katika hao wote uliowataja. Toa Mason Mount.
Nakuunga mkono ila bado atahitaji minor rotation ili asichoke na pili kuwapa wenzake nao wajijenge kwenye hizo position. Nazungumzia akina Pulisic, Ziyech na Odoi na hata Werner kwa sababu wote wanacheza almost the same position
 
Didier Drogba vs Arsenal

Mechi 15
Magoli 13

Lukaku naye atafuata nyayo na ameshafungua akaunti yake ya magoli
 
Romelu Lukaku’s game by numbers vs. Arsenal:

95% pass accuracy
11 touches inside the box
8 shots [7 inside the box]
7 aerials contested
4 aerials won
3 chances created
3 attempted dribbles
2 successful dribbles
2 big chances
2 fouls won
1.41 xG
1 goal

Big Rom is here 💙
 
Mason mount Stats Vs Arsenal

85 pass accuracy
56 total touches
5 Chances created
3 passes into the Box
3 Big chances created
3 shots [ 1 on target 🎯]
2 Ball Recoveries
2 Clearences
1 foul won
1 assist

There is only one Mason 🚀
 
🚨Thomas Tuchel on 2-0 win over Arsenal🗣:

“It’s a perfect start. We haven’t conceded a goal and we have two victories in two London derbies. It gives us a lot of confidence which is what you need as a team because we’re a different group.

“Some players left, some new players came in, so this is what you need, these experiences together, good victories, moments where you suffer, where you work hard together. This is how a group is built and that’s why we are absolutely happy with the start, but it was a unique preparation, we are still in the process, and we have to keep on going.” 💪🚀
 
Reece James on Romelu Lukaku:

"I’m very happy he’s here. His performance speaks for itself. Everyone saw how he uses his body and bullies players. He showed his strengths and qualities with how good he is and how he scores goals. He’s a great addition to our team."

Beasts! 💪🏼💙
 
🎙Lukaku on Sunday win and his debut goal:

🗣️"That was the best one for me, the best of the lot. You know how emotional it was for me. Obviously it was a tap-in, but the build-up was nice.

We played really well, we dominated. We could have scored more, but coming here with this performance is good. We have to continue like that.

Now we have to keep working, keep building, keep getting stronger because the Premier League is very competitive. We are ready for the challenge and hopefully we can improve on this.’’👊

🎙On his performance:

‘’Dominant, I would say. I try to improve every time. I have a long way to go.

You want to work hard for the team, you want to win and score and create chances. It’s something I have learned and worked on really hard and keep working on it. This team is very talented, they are the European champions and obviously they want to keep building.

’I said I wanted to add something different to the team, and hopefully I did. It took about five minutes to understand the movements of my team-mates.

The team adapted really well. I asked a lot of questions to the players and they helped me a lot and made my life really comfortable.

I wasn’t stressed, I was very focused. There was one thing on my mind, just win. I am delighted for the club and the fans.’’ 💯

{ @5th Stand App}
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom