Mwamba si ulikuwa unamponda Lukaku kisa eti ana mwili mkubwa umeona faida ya mwili wake? me nilikuambia Lukaku mtu na kwa jinsi Chelsea inavyotengeneza nafasi nyingi jamaa atafunga sanaPeter Durry ana kera sana![]()
Mwamba si ulikuwa unamponda Lukaku kisa eti ana mwili mkubwa umeona faida ya mwili wake? me nilikuambia Lukaku mtu na kwa jinsi Chelsea inavyotengeneza nafasi nyingi jamaa atafunga sanaPeter Durry ana kera sana![]()
Two assists on his Roma debut for Tammy AbrahamTammy Abraham tayari ana assist kule Roma kwa Mou na mechi ndio dk ya 38




Hapo Werner as a sole striker angelalamika kuonewa na mabeki WA EPL warefu na wenye nguvuLukaku 1st Goal View attachment 1904253

VP Hapo Kwa James akae km rcb km jinsi tuchel alivyomtumia kwenye games za Leicester na man city uefa Afu azpi acheze wingback?.....Chelsea Vs Liverkuku
Rudger vs Salah (RIP)
Chilwell vs Alexander
James vs Mane (Patachimbika)
Christensen vs Firmino (RIP)
Joginho + Kante vs All Midfielders (RIP)
Lukaku vs Van Vidk (Atavunjwa mguu na Lukaku)
Nafasi ya wingback inamfaaa sana James anajua kushambulia na kukaba tofauti na Azp yeye ni too defensive kushambulia sio kivileVP Hapo Kwa James akae km rcb km jinsi tuchel alivyomtumia kwenye games za Leicester na man city uefa Afu azpi acheze wingback?.....
Badiliko la Kante kuchukua nafasi ya Kova ni sawa kabisa ila hizo position nyingine zisalie kama mwanzo maana wachezaji washatengeneza partneahip nzuriMechi na Liverpool tutahitaji hii line up
Werner ----------Lukaku --------------ZiyechAlonso kacheza vizuri sana leo ila kubadili uchezaji ni muhimu kimbinu ili Liver wasije wametukariri
Chillwell --------- Jorginho ---------Kante ---------Azpilicueta
Rudiger ------------- Silva ------------ Chalobah
Mendy
Sub
1) Kepa
2) Christensen
3) Zouma
4) James
5) Alonso
6) Kovacic
7) Odoi
8) Havertz
9) Mount
Nafasi zenye ushindani ni lazima rotation iwepo ili pia iwe motisha kwa wachezaji
Naona mboga arse8 kaliwaMimi siku zote nasema Chelsea akikutana na arsenal anakuwaga kilaza ...
Hapa arsenal anaenda kujitafunia mboga kiulain hakuna vya kante ,wala TT ,wote wanaenda kubemendwa .
Mwamba si ulikuwa unamponda Lukaku kisa eti ana mwili mkubwa umeona faida ya mwili wake? me nilikuambia Lukaku mtu na kwa jinsi Chelsea inavyotengeneza nafasi nyingi jamaa atafunga sana
Aisee Nyie mlikuwa mnamtaka Nani sasaBado anajikanyaga sana, Lukaku still bado tumepigwa

.....Lukaku hatujapigwa MzeeMapema sana kuongea hilo, Arsenal ina mabek nyanya sana ndio mana alikua anawaonea, imagine beki anaitwa marry, wakati wenzio wana kina Rudger, Magure, VVD. Arsenal wasipojiangalia watashuka daraja ........ bado hajakutana na beki zenye roho mbaya.Mwamba si ulikuwa unamponda Lukaku kisa eti ana mwili mkubwa umeona faida ya mwili wake? me nilikuambia Lukaku mtu na kwa jinsi Chelsea inavyotengeneza nafasi nyingi jamaa atafunga sana
Magure nae beki yule hamna kituMapema sana kuongea hilo, Arsenal ina mabek nyanya sana ndio mana alikua anawaonea, imagine beki anaitwa marry, wakati wenzio wana kina Rudger, Magure, VVD. Arsenal wasipojiangalia watashuka daraja ........ bado hajakutana na beki zenye roho mbaya.
Aisee Nyie mlikuwa mnamtaka Nani sasa.....Lukaku hatujapigwa Mzee
Yule huwezi jua ingekuwa bado NI gamble angeweza kuhandle pressure za timu kubwa?...Lukaku amerudi akiwa completeHalaand
Wiki ijayo tuna liver tutamuonaMapema sana kuongea hilo, Arsenal ina mabek nyanya sana ndio mana alikua anawaonea, imagine beki anaitwa marry, wakati wenzio wana kina Rudger, Magure, VVD. Arsenal wasipojiangalia watashuka daraja ........ bado hajakutana na beki zenye roho mbaya.