Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,285
Msingi bora ndio uimara wa nyumba yako. Mkuu msingi ukiwa imara mbona inawezekanaNi mapema mno kufikiria vikombe. Safari bado ni ndefu sana.
Msingi bora ndio uimara wa nyumba yako. Mkuu msingi ukiwa imara mbona inawezekanaNi mapema mno kufikiria vikombe. Safari bado ni ndefu sana.
Huyu liver ni arse8 iliyochangamka.
Mechi na Liverpool tutahitaji hii line up
Werner ----------Lukaku --------------ZiyechAlonso kacheza vizuri sana leo ila kubadili uchezaji ni muhimu kimbinu ili Liver wasije wametukariri
Chillwell --------- Jorginho ---------Kante ---------Azpilicueta
Rudiger ------------- Silva ------------ Chalobah
Mendy
Sub
1) Kepa
2) Christensen
3) Zouma
4) James
5) Alonso
6) Kovacic
7) Odoi
8) Havertz
9) Mount
Nafasi zenye ushindani ni lazima rotation iwepo ili pia iwe motisha kwa wachezaji
Inabidi game 10 za mwanzo zote tushinde,
Na kwa jinsi tulivyo cheza jana walahi Lukaku atakuwa top goal score mpaka msimu unaisha. Japo tulipigwa
Kazi imeanza ngoja tuone mwisho wakeLukaku atabeba kiatu cha dhahabu.
Nani anabisha..
Wewe ni fala level za stg kabisa hahaaaaaaaTuchukue vyote yaani tupige vikombe 3 kwa msimu mmoja vile vikubwa EPL&FA +UEFA=3
Ikifanyika hiyo rotation tutakuwa fire sanaKabisa mkuu. Na tukifanya rotations ya wachezaji itakuwa poa sana. Pia itawapa wachezaji motisha wa kuwa na uhakika wa kucheza vizuri.
Mechi iliyopita James hakucheza umeona leo alivyokiwasha?
Next gem alonso apumzike aingie Chilwell au vipi mbele iwepo kama ulivyoandika hapo
Mfano Leo kaonesha uhai sana ..kama ile iloyogonga mwamba basi angekuwa na goli mbili..Kazi imeanza ngoja tuone mwisho wake
Tuliwa wewe mamlukii...You know nothing about futbol
Sasa wewe takataka unacho cha kusema tena? Hiyo next week sisi tutakuwa pamoja na arse8 kuwapa nguvu wenetu na tuna hakika hawatotuangusha..Wewe ni fala level za stg kabisa hahaaaaaaa
Mnakuja Anfield,nawapiga !
Nani hapa kwa sasa hayaogopi majogoo yasiyo na majeruhi?
Nakupiga easy sana
Liver hii yenye kiungo butu. Match nyepesi sana kwa chelsea.Mnakuja Anfield,nawapiga !
Nani hapa kwa sasa hayaogopi majogoo yasiyo na majeruhi?
Nakupiga easy sana
Chelsea things