Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Inabidi game 10 za mwanzo zote tushinde, mpaka wachezaji wanaenda kwenye international break tuwe tunaongoza ligi. Hakuna kucheka na kima ni kipigo tu mpaka akili ziwakae sawa ili wajue tuko serious.
Nimefurahi sana kuona wachezaji wetu wako serious na wanataka ubingwa wa ligi kuu. Vile tulicheza jana ndio bigwa anapaswa acheze vile hakuna kucheka na kima ni mwendo wa kuwapelekea moto tu. Yaani mpka maji waite mma, hakuna kuwapa nafasi ata ya kupiga shuti.
Sasa nimeanza kumuelewa TT alipo sema ataunda timu ambayo hakuna klabu itatamani kukutana nayo.
Na kwa jinsi tulivyo cheza jana walahi Lukaku atakuwa top goal score mpaka msimu unaisha. Japo tulipigwa
Nimefurahi sana kuona wachezaji wetu wako serious na wanataka ubingwa wa ligi kuu. Vile tulicheza jana ndio bigwa anapaswa acheze vile hakuna kucheka na kima ni mwendo wa kuwapelekea moto tu. Yaani mpka maji waite mma, hakuna kuwapa nafasi ata ya kupiga shuti.
Sasa nimeanza kumuelewa TT alipo sema ataunda timu ambayo hakuna klabu itatamani kukutana nayo.
Na kwa jinsi tulivyo cheza jana walahi Lukaku atakuwa top goal score mpaka msimu unaisha. Japo tulipigwa

ROM Lukaku