Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Inabidi game 10 za mwanzo zote tushinde, mpaka wachezaji wanaenda kwenye international break tuwe tunaongoza ligi. Hakuna kucheka na kima ni kipigo tu mpaka akili ziwakae sawa ili wajue tuko serious.

Nimefurahi sana kuona wachezaji wetu wako serious na wanataka ubingwa wa ligi kuu. Vile tulicheza jana ndio bigwa anapaswa acheze vile hakuna kucheka na kima ni mwendo wa kuwapelekea moto tu. Yaani mpka maji waite mma, hakuna kuwapa nafasi ata ya kupiga shuti.

Sasa nimeanza kumuelewa TT alipo sema ataunda timu ambayo hakuna klabu itatamani kukutana nayo.

Na kwa jinsi tulivyo cheza jana walahi Lukaku atakuwa top goal score mpaka msimu unaisha. Japo tulipigwa
 
Inabidi game 10 za mwanzo zote tushinde, mpaka wachezaji wanaenda kwenye international break tuwe tunaongoza ligi. Hakuna kucheka na kima ni kipigo tu mpaka akili ziwakae sawa ili wajue tuko serious.

Nimefurahi sana kuona wachezaji wetu wako serious na wanataka ubingwa wa ligi kuu. Vile tulicheza jana ndio bigwa anapaswa acheze vile hakuna kucheka na kima ni mwendo wa kuwapelekea moto tu. Yaani mpka maji waite mma, hakuna kuwapa nafasi ata ya kupiga shuti.

Sasa nimeanza kumuelewa TT alipo sema ataunda timu ambayo hakuna klabu itatamani kukutana nayo.

Na kwa jinsi tulivyo cheza jana walahi Lukaku atakuwa top goal score mpaka msimu unaisha. Japo tulipigwa
Wewe huijui epl ..

Unaangaliagaa mpira liverscore ..

Narudia tena ,epl sio tako kila mtu analo..
 
Tuongeze wachezaji wawili Kounde na Tchouameni, Tchouameni ni wamuhimu sana pia ana kipaji sana.
 
Kenge kama nyie ndio mnafanya nipigwe ban, now sitaki ukorofi na mtu. Pambana na li timu lako ambalo halina mbele wala nyuma, na ukumbuke kuwa nina point 6 kutoka kwenu.
Wewe huijui epl ..

Unaangaliagaa mpira liverscore ..

Narudia tena ,epl sio tako kila mtu analo..
 
Zimebaki SIKU 16 dirisha la usajili lifungwe.

Kwa siku chache zilizobaki unahisi tunaweza kusajili wachezaji hao wawili? SIDHANI

Chelsea yangu naifahamu ikitaka mchezaji kwa umuhimu, dili linapamba moto usiku na mchana mpaka lifanikiwe.

Hili dili la Kounde linavyokwenda mwendo wa kinyonga na epl imeshaanza, angekuwa kwa umuhimu wa ligi anahitajika ungekuta alishatua long time kabla ya dili gumu la Lukaku.
Kounde waliokuwa wanazuia ni wale waliouzwa ili wabalance mahesabu kwa ajili ya Financial Fair Play
Kwa vile Abraham kashauzwa na Batshuayi naamini hivyo hivyo sasa Chelsea wanaweza kumnunua Kounde ila kuongeza mchezaji wa pili hata kama Chelsea wakitaka sheria ya FFP inawakataza
 
Mzee hiyo sheria ya FFP inawabana The BLUES tuu, Man city hawahusiki?

Nitajie wachezaji wanaouzwa na Man city ndani ya miaka 3 kupisha sajili mpya?

Juzi kasajili Grealish £100M, ametuma offer kwa Kane ,£150M.

Hii £250M city anaibalance vipi kwenye vitabu vya hesabu? Na hawajauza mchezaji yeyote wa maana?
Formula ni

Matumizi = Mapato

Hapo kwenye mapato kuna
  1. Mapato ya kwenye mechi za mashindano tofauti kwa kuuza ticket, na vitu vingine
  2. Mapato ya media , tv na matangazo mbalimbali
  3. mapato ya biashara kama mikataba, kodi nk
Mapato hayo yote hayafanani klabu moja kwenda nyingine
Man city wanaweza wasiwe na mapato kupitia kuuza wachezaji lakini wakawa na mapato kwenye hayo maneneo mengine

Mfano kwenye broadcasting tu ya mwaka jana ilikuwa hivi

1. Manchester City
Actual League Position: 1st
No. Of Paid TV Games: 25
Estimated Prize Money: £161.7m
Estimated Rebate: £7.8m
Total: £153.9m

2019-20 payment: £168.3m
Difference: -£14.4m

2. Manchester United
Actual League Position: 2nd
No. Of Paid TV Games: 27
Estimated Prize Money: £160.9million
Estimated Rebate: £7.4million
Total: £153.5m

2019-20 payment: £166.2million
Difference: -11.9m

3. Chelsea
Actual League Position: 4th
No. Of Paid TV Games: 27
Estimated Prize Money: £158.2m
Estimated Rebate: £7.3m
Total: £150.9m

2019-20 payment: £160.9m
Difference: -£10m

4. Liverpool
Actual League Position: 3rd
No. Of Paid TV Games: 28
Estimated Prize Money: £156.5m
Estimated Rebate: £8.2m
Total: £148.3m

2019-20 payment: £174.6m
Difference: -£26.3m
 
Mzigo wa Mishahara kwa Timu za EPL hii hapa
1629035649489.png
 
Agent wa Lukaku atishiwa yeye na familia yake na mashabiki wa Inter kwa sababu ya mauzo ya Lukaku kuja Chelsea
1629035948439.png

“I have always accepted – and will continue to do so – confrontation and constructive criticism: they are part of the game for those who play a role with considerable media relevance,” Pastorello said, as per Goal.

“What we absolutely cannot tolerate are the falsehoods, insinuations, insults and threats we have received [also against my family and my daughters], which have far exceeded the limits of civilisation, decency and tolerance.

“Believe it or not, the supporters’ affection and the special bond with the city of Milan made him think about it for a long time: but then, once he made his decision, he carried on with conviction and firmness.
“The economic aspect is a detail, but it is not the main factor that determines our choices and those of our clients.

“With regards to FC Internazionale, I can guarantee that the Sport CEO Giuseppe Marotta, the sporting director Piero Ausilio – as well as the coach Simone Inzaghi, who worked at this personally – did everything in their power to avoid this transfer.

“But there are circumstances that go beyond their decision-making range and depend on the instructions of the owners.”
 
Manure halafu hawafiki popote na kuwalipa wachezaji kiholela hivyo

1629036167163.png
 
Mishahara ya Chelsea 2021/22
Angalia kazi nzuri anayofanya Mendy, Christensen, Mount, Rudiger, Ziyech, Thiago Silva na mishahara wanaolipwa. Hakuna usawa aisee.
Werner hakustahili kulipwa vile

1629036335952.png
 
Kwa hizo siku mi nadhani tuachane na usajili wa Kounde, nguvu zote tuhamishie kwa Tchouameni. Tchouameni aje asaidiane na Kante bahati mbaya ni kuwa sidhani kama bodi yetu ina mpango nae, ila dogo yuko vizuri sana. Tumpe nafasi Chalobah tuachane na Kounde.
Zimebaki SIKU 16 dirisha la usajili lifungwe.

Kwa siku chache zilizobaki unahisi tunaweza kusajili wachezaji hao wawili? SIDHANI

Chelsea yangu naifahamu ikitaka mchezaji kwa umuhimu, dili linapamba moto usiku na mchana mpaka lifanikiwe.

Hili dili la Kounde linavyokwenda mwendo wa kinyonga na epl imeshaanza, angekuwa kwa umuhimu wa ligi anahitajika ungekuta alishatua long time kabla ya dili gumu la Lukaku.
 
Wapi nimeandika hivyo?
Ok ulisema atakwua top goal scorer
Inabidi game 10 za mwanzo zote tushinde, mpaka wachezaji wanaenda kwenye international break tuwe tunaongoza ligi. Hakuna kucheka na kima ni kipigo tu mpaka akili ziwakae sawa ili wajue tuko serious.

Nimefurahi sana kuona wachezaji wetu wako serious na wanataka ubingwa wa ligi kuu. Vile tulicheza jana ndio bigwa anapaswa acheze vile hakuna kucheka na kima ni mwendo wa kuwapelekea moto tu. Yaani mpka maji waite mma, hakuna kuwapa nafasi ata ya kupiga shuti.

Sasa nimeanza kumuelewa TT alipo sema ataunda timu ambayo hakuna klabu itatamani kukutana nayo.

Na kwa jinsi tulivyo cheza jana walahi Lukaku atakuwa top goal score mpaka msimu unaisha. Japo tulipigwa
 
  1. Ross Barkley hakuuzwa
  2. Hakutolewa mkopo
  3. Hakupewa namba na namba yake kuchukuliwa na Kovacic
  4. Ndio tuseme ndoto zake za kuja kuwa the next Lampard zimekomea hapo??
View attachment 1893003
Chelsea squad numbers 2021/22

  1. Kepa Arrizabalaga
  2. Antonio Rudiger
  3. Marcos Alonso
  4. Andreas Christensen
  5. Jorginho
  6. Thiago Silva
  7. N’Golo Kante
  8. Mateo Kovacic
  9. Tammy Abraham ROM Lukaku
  10. Christian Pulisic
  11. Timo Werner
  12. Ruben Loftus-Cheek
  13. Marcus Bettinelli
  14. Trevoh Chalobah
  15. Kurt Zouma
  16. Edouard Mendy


  17. Mason Mount
  18. Callum Hudson-Odoi
  19. Ben Chilwell
  20. Hakim Ziyech

  21. Reece James


  22. Tino Anjorin
  23. Cesar Azpilicueta
  24. Kai Havertz



  25. Emerson Palmieri


  26. Lucas Bergstrom







  27. Ethan Ampadu
Ampadu kachukua 44
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom