Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,079
- 12,319
Hiyo taka taka, nakumbuka Mou aliileta hapo, lakini haikua na maajabu yeyote, au labda rasta zilikua zinamzingua!Manure ile iliyopoteza dira au nyingine
Hiyo taka taka, nakumbuka Mou aliileta hapo, lakini haikua na maajabu yeyote, au labda rasta zilikua zinamzingua!Manure ile iliyopoteza dira au nyingine
Jamaa mropokaji TuMkuu hivi huwa unakumbuka posti zako za nyuma!?
Uliandika kwamba, tumeshindwa Haaland, tumeshindwa Lukaku hatujielewi.
Lukaku anasajiliwa, unaanza tena ngonjera hizi, vipi Mwenzetu uko sawa kweli!?
Anyways nipe matokeo ya ngao ya jamii!

Ukiachia kufunga kwake (bahatisha ndulute) pesa muliyo pigwa ni nyingi kulikoni uwezo wa mchezaji.Kwani Lukaku hajawahi kucheza ligi ya Uingereza?
Angalau na sisi the blues mchezaji wetu abebe golden boot
Sema rekodi ya Mchezaji mzito EPL inashikiliwa na Maguire ana kilo 100 na ana kichwa kikubwa sana kama Transforma.




mshamba kweli we! 




Munapesa ya kumlipa?Copy n paste.
If Romano Fabrizio tells me my wife is pregnant, I’ll believe him without doing pregnancy test
Kwamba huyu jamaa mambo yake kweli kwa 99%
Liverpool kwa hali inayoendelea kwenye club yetu naogopa sana. Tutashinsana vp na city united na nyie.
Kesho messi ataongea na waandishi wa habari na anaenda kufanya maamuzi magumu. Msishangae akija anfild.
Mmejiandaa vizuri msimu huu mnaweza mkapa top 4.
Hamjapigwa haswaa, mumepigwa miti.WTF, Lukaku wa nn Chelsea. Pumbavu sana bodi ya Chelsea, inamaana mmekosa straika hii dunia mpaka mtuletee hilo takataka.!!? Dah! Imeniuma sana
My Chelsea kweli tunatoa hela yote hiyo kwa dude kama lile kweli.!? Ata siamini, si kheri tungemchukua Vardy.
Pale tumepigwa tena tumepigwa haswa
Hicho kiroba cha maharage hakiwezi kutudhuru.Natabiri Lukaku atawafanya mbaya manure. tusibiri tuone
Lukaku siginifica Macacu (pelo Portuguese) Nyani kwa kiswahili.Welcome to the Bridge Lukaku.
#CFC
Usimfananishe Drogba na hicho kiloba cha maharage.Watu wanashindwa kuelewa sisi tunashida na strike anaye lijua goli na lukaku sifa hizo anazo Chelsea wamekua wakitengeneza nafasi nyingi sana lakini wafungaji walioko wamekua na utoto mwingi sana na wakati mwingine kutolewa kwenye njia kiulaini lukaku ni drogba ajae
Upendo tulishaweka kwa haaland ,kumkubali Lukaku mpaka atushawishi kwa magoli ndo tutamkubali.Utatumia nguvu aiseeanaonekana Hana nyota ya kupendwa
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Swali la msingi hilo,Lukaku bado hajasaini tu??
Huyo varane aliyenyanyaswa na Gabriel jesus na kina pulisic?Hicho kiroba cha maharage hakiwezi kutudhuru.
Tuna beki imara (Maguire na Verane) hicho kiroba hakiwezi tamba.
We unachuki naye Tu ila Lukaku kashadhihirisha ufungaji hapohapo EPL ..ilikuwa ndo mpango uliobaki coz plan z kuwasajili kane na halaand zilishindikana....Upendo tulishaweka kwa haaland ,kumkubali Lukaku mpaka atushawishi kwa magoli ndo tutamkubali.
Acha maneno ya kibaguzi wewe..Lukaku siginifica Macacu (pelo Portuguese) Nyani kwa kiswahili.
Kiroba cha maharage.
Lukaku anatakiwa acheze SuperCup fainali..Hahahaha tuliza ball kijana wangu
Nilikuambia me usiende Doha, kule tende halua ndio zao, umeona sasa umekua laini!Acha maneno ya kibaguzi wewe..
@modarators pigeni ban huyu mtu..



