Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pesa inaweza kuwa kubwa ila now tuko katika zama ambazo mchezaj kununuliwa 100 nikawaida hasahasa pale tim inapojua kuwa mnashida na mchezaj wa eneo fulan
Watu wanashindwa kuelewa sisi tunashida na strike anaye lijua goli na lukaku sifa hizo anazo Chelsea wamekua wakitengeneza nafasi nyingi sana lakini wafungaji walioko wamekua na utoto mwingi sana na wakati mwingine kutolewa kwenye njia kiulaini lukaku ni drogba ajae
 
1628365971186.png
 
Kuna sehemu mashabiki wa Manure wanalalamika kule twiter kwenye uzi mmoja wa Romano Fabrizio kuwa eti sisi kumnunua Lukaku tumepoteza pesa kwa Werner aje kuwa striker na sasa tunapoteza pesa kwa Lukaku

Nikawajibu

Opponents fans are envy whenever Chelsea is doing shopping business. Last year you did the same and we took UCL, this year you are doing the same complaint and we are going to take UCL again and EPL. John Wooden Quote: “Champions never complain, they are too busy getting better.”

Manure nawajibu tena kwa kiswahili
Kila mara tukiingia sokoni kununua wachezaji mashabiki wa timu pinzani huona wivu. Mwaka jana mlipolalamika kwamba tumemwaga pesa hovyo hao wachezaji walitupa UCL
Mwaka huu mnarudiakosa lile lile la kulalama bure sisi tunapoingia sokoni kununua wachezaji. Nawaambia kuwa mwaka huu tutabeba tena UCL na zaidi EPL.

Natafsiri hiyo nukuu ya John Wooden; "Mabingwa kamwe huwa hawalalamiki, wanakuwa busy wakifanya maboresho"

Ninyi endeleeni kulalama, sisi tunaijenga timu yenye kubeba mataji
 
Pesa inaweza kuwa kubwa ila now tuko katika zama ambazo mchezaj kununuliwa 100 nikawaida hasahasa pale tim inapojua kuwa mnashida na mchezaj wa eneo fulan
Yah naelewa ila lukaku kwa hiyo pesa hapana aisee, namuombea aje na mambo mazuri tuu aisee mana hata Kai nilikuwa simkubali ila sasa namuelewa
 
This is our city ,money talk ,..

Sio nyie mafala ,hamjui mnataka nini ,halaand kawashinda ,lukaku kawashinda ,sijui mnataka nini..

Timu masikini tu ,kaeni pembeni mpira umewashinda ,ubahili tu ,mmekaa kiboyaboya utafikili hayajachukua CL ,falaa sana hii timu

Sasa pain killer unakuja huku unatukana wakati Timu ako inabamizwa huko la leceister
 
Angalia hii video, vitu Lukaku anvyovileta darajani, utafurahi mwenyewe. Azpi bana mbele ya Lukaku
 
This is our city ,money talk ,..

Sio nyie mafala ,hamjui mnataka nini ,halaand kawashinda ,lukaku kawashinda ,sijui mnataka nini..

Timu masikini tu ,kaeni pembeni mpira umewashinda ,ubahili tu ,mmekaa kiboyaboya utafikili hayajachukua CL ,falaa sana hii timu
Na msimu huu mtalambishwa hadi dududume
Mmemnunua Grealish mkaona mmepata heah!
 
WTF, Lukaku wa nn Chelsea. Pumbavu sana bodi ya Chelsea, inamaana mmekosa straika hii dunia mpaka mtuletee hilo takataka.!!? Dah! Imeniuma sana

My Chelsea kweli tunatoa hela yote hiyo kwa dude kama lile kweli.!? Ata siamini, si kheri tungemchukua Vardy.

Pale tumepigwa tena tumepigwa haswa
Soon utanyamaza na kujutia maneno yako..!
 
wakuu kwa hili pipa mmeloleta ,haliendani kabisa na uchezaji wenu ..

Hivi huwa mnaangalia uchezaji wa Chelsea ,na lukaku alivo ?...

Mbona mnajichetua wakuuu ,

Lukaku mmepigwa ,nasema tena lukaku mmepigwa ,..

Game 5 za mwanzo mtakuwa mmeelewa nachokisema ...
 
Chelsea wala haihitaji mchezaji kaliba ya Lukaku, naombea sana aje darajani. Siku akiflop nitaomba wote mnamsifia muombe radhi.
Yule ni mcheza ragby si mcheza mpira.
Yule ni mchezaji au mbeba vyuma.
 
Naomba kuuliza inahitaji mechi ngapi ili akili ziturudie kuwa Lukaku tumepgwa?

Imagine speed y wener, halafu partner wake Lukaku
 
wakuu kwa hili pipa mmeloleta ,haliendani kabisa na uchezaji wenu ..

Hivi huwa mnaangalia uchezaji wa Chelsea ,na lukaku alivo ?...

Mbona mnajichetua wakuuu ,

Lukaku mmepigwa ,nasema tena lukaku mmepigwa ,..

Game 5 za mwanzo mtakuwa mmeelewa nachokisema ...
Wewe toka humu kapambane na katimu kako huko, tuache tupambane na wa kwetu, Lukaku tukiwa tumepigwa wewe inakuhusu nini
 
wakuu kwa hili pipa mmeloleta ,haliendani kabisa na uchezaji wenu ..

Hivi huwa mnaangalia uchezaji wa Chelsea ,na lukaku alivo ?...

Mbona mnajichetua wakuuu ,

Lukaku mmepigwa ,nasema tena lukaku mmepigwa ,..

Game 5 za mwanzo mtakuwa mmeelewa nachokisema ...
We mropokaji mmoja Tu[emoji23] ...Lukaku anafit style zote striker mmoja, strikers wawili au yenye mafowadi watatu....ngoja akuumbue Tu n suala l muda

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom