Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,079
- 12,319
Hii posti nai hifadhi.Hatutawasamehe bure hawa ndugu zetu wanaosusia usajili wa Lukaku
Mechi kumi tu za Lukaku lazima kuna mashabiki humu watachoma nyama ya kuomba msamaha
Kwa wale wa Arusha kuna Muriet Mahakama ya Nyama choma
Kwa wale wa Dar pendekeza eneo
Na miji mingine hivyo hivyo
Tukumbushane baada ya mechi dhidi ya Newcastle, Burnely, Leicester city au Manyumbu United
Ikiwa Lukaku hajafunga goli angalao 8 sis tunaounga usajili huu tutawachomea nyama hao ndg zetu wenye hisia tofauti
Ila kama Lukaku atakuwa amefunga angalau goli 8 kwenda juu wao itabidi watuchomee nyama
Ushauri huu unahusika kwa mechi 10 alizocheza Lukaku kwa kuanza
Kwani me ni mmoja wapo kati ya wanaompinga, japo hayanihusu.
Makaku afunge goli 8 kwenye game 10? Naacha kuchimba narudi kukaakijiweni kungoja ajira ya serkali.

