Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Inabidi game 10 za mwanzo zote tushinde ili tuwe na pointi 30 alafu wale wanao tufuata waaze kuogopa mapema
 
Super Cup ni tarehe 11.08.2021 kuhusu Mendy tujiandae anaweza asiwepo
 
Grealish - Haaland - Mount

Chilwell - Joginho - Kante - Hakimi

Rudger - Thiago - James


Grealish = 25M + Abraham (40M)
Hakimi= 51M + Ermason (17M)
Haaland = 154.2M

TOTAL = 230M

Roman katenga 200M - usajili Dirisha hili

Tayari tumeuza Tomori = 25M
Grealish wa nini? Si bora tubak na Zieych. bora acheze Wener mara kumi kuliko huyo bishoo.
 
Grealish - Haaland - Mount

Chilwell - Joginho - Kante - Hakimi

Rudger - Thiago - James


Grealish = 25M + Abraham (40M)
Hakimi= 51M + Ermason (17M)
Haaland = 154.2M

TOTAL = 230M

Roman katenga 200M - usajili Dirisha hili

Tayari tumeuza Tomori = 25M
Subili muda ufike ndio utajua kuwa ,mnajitekenya na kucheka wenyewe
 
Kai anaukubwa gani na wewe ,mbona unataka kumvimbisha kichwa
...

Hao madogo wa chelsea sijui kai ,werner ,mount bado sana ,mpaka waoneshe ubabe pale epl wachukue PL ndio tutaanza kudiscus ukubwa wao ...

Sio kagoli kamoja tu ka kubahatisha then unataka tumpe ukubwa ....
Mzee baba upo tangu upigwe ulipotea
 
Matumaini ya Chelsea kusaini haaland ya meongezeka baada ya makubaliano ya malipo baina yake na Chelsea, (personal terms) kilichobakia ni makubaliano pamoja na malipo kwa timu yake ya Borrusia Dortmund.......
View attachment 1821780
 
Acha porojo, hiyo habari umeitoa wapi?
Matumaini ya Chelsea kusaini haaland ya meongezeka baada ya makubaliano ya malipo baina yake na Chelsea, (personal terms) kilichobakia ni makubaliano pamoja na malipo kwa timu yake ya Borrusia Dortmund.......
 
Grealish ni takataka
Grealish - Haaland - Mount

Chilwell - Joginho - Kante - Hakimi

Rudger - Thiago - James


Grealish = 25M + Abraham (40M)
Hakimi= 51M + Ermason (17M)
Haaland = 154.2M

TOTAL = 230M

Roman katenga 200M - usajili Dirisha hili

Tayari tumeuza Tomori = 25M
 
Acha porojo, hiyo habari umeitoa wapi?
Kasome hapa
Screenshot_20210617-173530_Gallery.jpg
 
Grealish wa nini? Si bora tubak na Zieych. bora acheze Wener mara kumi kuliko huyo bishoo.
Ndg yangu ufuatilii uchezaji wa hawa wawili. Ziyech haonyeshi agresiveness na juhudi uwanjani, Grealish yeye ni typ ya Hazard kwa kudrible na kung'ang'ana na ni mzuri kwenye kuassists. Ziyech umaarufu wake ni kwenye krosi tu ambazo hata James na Azpilicueta wanazipiga sana. Grealish ni bora mara nyingi kuliko Ziyech
 
Acha porojo, hiyo habari umeitoa wapi?
Tatizo la media za Ulaya hata mmoja akianzisha uongo wote wanasambaza hata kwenye reliable media kama za SkySports. Sheria zao zinaruhusu rumours kusambazwa sio kama huku kwetu
Media nyingi zimeripoti kuwa kilichobaki ni ada ya uhamisho tu kwa Dortmund

Ukitaka kujua ni porojo, hawataji chanzo cha habari
Mfano hii hapa

Borussia Dortmund striker Erling Haaland has agreed personal terms with Chelsea, according to reports.

Wanasema acording to reports wakati kwa kawaida wanatakiwa kusema accrding to Mwananchi Newspaper etc
 
Chelsea wamemongeza Mbape kwenye orodha ya targets
Mbape anauzwa kwenye mil 150-200 Euro
 
Ian nasikia amedai kuwa Tuchel kakaa na Abramovich baada ya fainali ya UEFA na kumueleza kuwa kumsajili Haaland kutaongeza nafasi ya Chelsea kutwaa kombe la EPL

McGarry said personal terms had already been confirmed between Borussia Dortmund and Chelsea for the 20-year-old; now a fee just needed to be agreed upon.

Landing the superstar striker would enhance Chelsea’s chances of winning the Premier League, by giving them a focal point in attack.

Ripoti zinadai kuwa Tuchel pamoja na Uongozi wa juu wa Chelsea walikaa kikao cha dharura na Abramovich na yeye TT kutakiwa kuelezea ni jinsi gani atatwaa kombe la EPL mwakani.

Alidai anataka kujenga timu kutokea kwa striker wa level ya Haaland

Tuchel would also be able to build his team around Haaland, rather than trying to fit expensive pieces into a complicated puzzle.

“Haaland would play as a point striker with a mixture of, obviously because they have so many attacking midfielders, Werner returning to his more familiar position on the left side of attack.

“Mason Mount at ten, Kai Havertz/ Christian Pulisic/ Hakim Ziyech all fighting for places across that three.
 
Werner- Haaland - Mount

Chilwell - Kovacic - Kante - Hakimi

Rudger - Thiago - James
 
Kuhusu habari za usajili bila Fabrizio Romano ni porojo tu.
Tatizo la media za Ulaya hata mmoja akianzisha uongo wote wanasambaza hata kwenye reliable media kama za SkySports. Sheria zao zinaruhusu rumours kusambazwa sio kama huku kwetu
Media nyingi zimeripoti kuwa kilichobaki ni ada ya uhamisho tu kwa Dortmund

Ukitaka kujua ni porojo, hawataji chanzo cha habari
Mfano hii hapa

Borussia Dortmund striker Erling Haaland has agreed personal terms with Chelsea, according to reports.

Wanasema acording to reports wakati kwa kawaida wanatakiwa kusema accrding to Mwananchi Newspaper etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom