ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Pain Killer hii umeona?Hii timu inazidi kuua vipaji vya wachezaji ,hovyo kabisa ..
Kante amemlambisha Nyasi Gundogan hatari


Pain Killer hii umeona?Hii timu inazidi kuua vipaji vya wachezaji ,hovyo kabisa ..


Kabisa MkuuChelsea wasifanye uzembe kumruhusu Rudiger aondoke kwenye Dirisha la kiangazi mwakani
Pia wasimruhusu Christensen aswap kule Inter or wherever
Rudiger ni fighter na ni mzalendo hata akiwa nje ya uwanja anahamasisha ushindi, ni winner oriented guy
Hyo y wachezaji kupumzika sio Chelsea Tu na vilabu vingine piaGame zetu 6 za mwanzo ukitoa crystal palace hizi nyingine ni ngumu,
Hofu yangu ni hawa wachezaj wanaoshiriki uero sidhan kama watakuwa washapata mda wa kupumzika
Yote kwa yote chini ya tuchel hizi game tutacheza kwa utulivu,na kupata matokeo
Naona 14 pts hapo, 4 wins na 2 draw
Yote kwa yote tunahitaj kutafuta wachezaj sahihi katika dirisha hili, tunahitaj kuwa kikos kipana zaidi
Kabla ya kucheza na crystal palce tutakuwa tumecheza na villareal hii game inabid tushinde maana katika super cup 3 za mwisho kushiriki tumefungwa zote(atl,bayern,liver)
Ktbffh
Hii game niliangalia jana, yaani Kante sasa hivi anachomoka kama umeme kwenye interception na akikushindwa kukukaba anaenda kukutega kwenye njia ambayo lazima utapita
Game zetu 6 za mwanzo ukitoa crystal palace hizi nyingine ni ngumu,
Hofu yangu ni hawa wachezaj wanaoshiriki uero sidhan kama watakuwa washapata mda wa kupumzika
Yote kwa yote chini ya tuchel hizi game tutacheza kwa utulivu,na kupata matokeo
Naona 14 pts hapo, 4 wins na 2 draw
Yote kwa yote tunahitaj kutafuta wachezaj sahihi katika dirisha hili, tunahitaj kuwa kikos kipana zaidi
Kabla ya kucheza na crystal palce tutakuwa tumecheza na villareal hii game inabid tushinde maana katika super cup 3 za mwisho kushiriki tumefungwa zote(atl,bayern,liver)
Ktbffh
Kumbuka team itahitaji kwenda pre season, so baadhi ya wachezaj watahitajika kureport mapema kabla na wale wanoshiriki watachelewa huku ikitegemea na team zao za taifa hatua zitakazofikaAcha uoga mkuu, uefa uero inafika tamati Julai, 13 na ligi kuu Uingereza inaanza Agosti, 14 hapo kuna kama mwezi. Wachezaji watakuwa wamepata mapumziko ya kutosha.
Ila tutamkosa Mendy kwa takriban mwezi mzima kwa sababu ya AfconAcha uoga mkuu, uefa uero inafika tamati Julai, 13 na ligi kuu Uingereza inaanza Agosti, 14 hapo kuna kama mwezi. Wachezaji watakuwa wamepata mapumziko ya kutosha.
Kumbuka team itahitaji kwenda pre season, so baadhi ya wachezaj watahitajika kureport mapema kabla na wale wanoshiriki watachelewa huku ikitegemea na team zao za taifa hatua zitakazofika
Ila tutamkosa Mendy kwa takriban mwezi mzima kwa sababu ya Afcon
Aisee inakuwaje wametupangia vigogo mfuatano?
August:- Arse8 next Mechi Liverkuku
Sept:- Tote next mechi Man city
Nov:- Leicester next mechi Nyumbu
Jan:- Liverkuku, Man city na Totte
Baada ya palace tutakuwa na game ngumu sanaTutaanza na PalaceView attachment 1820255
Kitoabu Kama Kitoabu mchizi boti unakwama.Kwa ratiba hiyo, sahauni kuhusu nafasi ya 4.
Lazima muwafuate majirani zenu Arsenal.
Round ya kwanza tutapiga wote hao.. Round pili baadhi ya mechi tutasuluhuAisee inakuwaje wametupangia vigogo mfuatano?
August:- Arse8 next Mechi Liverkuku
Sept:- Tote next mechi Man city
Nov:- Leicester next mechi Nyumbu
Jan:- Liverkuku, Man city na Totte
Tuhakikishe tunaondoka na point 3 tukikutana na PalaceBaada ya palace tutakuwa na game ngumu sana
Eti mchizi boti kitoabuuuuu hatari sanaKitoabu Kama Kitoabu mchizi boti unakwama.





Ase8 ana:-
UCL - 5
EUROPA - 8
Anaachaje kuwa kigogo kwa mfano?